Nafasi za kazi migration

Nafasi za kazi migration

Kwa jinsi alivyoanza na hiyo "je" inaonesha ni swali, hivyo anauliza kama nafasi zimetoka ila amesahau kuweka alama ya kiulizo mwisho.

Haya, ila swali limekaa ki div5, bado hizo element nilizouliza angeweka
 
Duh,msiwe watu wa ku ignore kila andiko guys,mbona alama ya kuuliza iko mwisho wa sentensi yake jamani,unajua kama huna cha kusema siyo lazima uchangie,unaweza pita kimya kimya tu bt kama unajua ni vema kuelekeza,tuwe waelewa na wastaarabu ktk hili.,people are serious bt nyie wachache mnaleta mzaha na utoto tu,,au ndiyo aliyeshiba hamjui mwenye njaa...?
 
watu wengine ma******i tu kama hujui acha,usijibu!
 
Duh,msiwe watu wa ku ignore kila andiko guys,mbona alama ya kuuliza iko mwisho wa sentensi yake jamani,unajua kama huna cha kusema siyo lazima uchangie,unaweza pita kimya kimya tu bt kama unajua ni vema kuelekeza,tuwe waelewa na wastaarabu ktk hili.,people are serious bt nyie wachache mnaleta mzaha na utoto tu,,au ndiyo aliyeshiba hamjui mwenye njaa...?

Wewe ndiyo mtu wa kuignore na kama jambo hulijui usiandike kitu we huoni hapo "
Last edited by coline; Today at 07:40." Na angalia original post imeweandikwa saa ngap!Hivyo baada ya kufahamu kosa lake amerekebisha.
 
Really??
Nahisi nimeona comment kama hii kwenye kila post za kazi humu ndani, tena zaidi ya mara moja.
Inaku cost nini mtu kuwa a little positive na kutia moyo wenzako? Kha!!!!

Sina tabia ya kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa.Hawa jamaa wanachukuaga mwisho form six tu na mnaweza mkaitwa kwenye usaili kama geresha lakini chance tayari zina wenyewe.Kama huamini endelea na kutoamini kwako just because i can not force you to believe what am saying.
 
Mhh!! hawa jamaa mpaka uwe na mtu au taasisi inayohusiana na hao jamaa tofauti na hapo mh! just try! (ushauri uckate tamaa kabla haujajaribu) kuna wengine wana bahati ya kuzaliwa....
 
Mhh!! hawa jamaa mpaka uwe na mtu humo au mtu kutoka taasisi inayohusiana na hao jamaa itakua rahisi kwako tofauti na hapo mh! Money talk au just try! (kwa ushauri uckate tamaa kabla haujajaribu) kuna wengine wana bahati ya kuzaliwa...
 
Sina tabia ya kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa.Hawa jamaa wanachukuaga mwisho form six tu na mnaweza mkaitwa kwenye usaili kama geresha lakini chance tayari zina wenyewe.Kama huamini endelea na kutoamini kwako just because i can not force you to believe what am saying.

Youre right, you cant force me to believe your pessimism. I choose not to.
 
Sina tabia ya kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa.Hawa jamaa wanachukuaga mwisho form six tu na mnaweza mkaitwa kwenye usaili kama geresha lakini chance tayari zina wenyewe.Kama huamini endelea na kutoamini kwako just because i can not force you to believe what am saying.

Mkuu wanachukua na wa degree this time. I hope umeona tangazo.
 
We n kitasa kma mwenye ubin wa jina lako

Acha kutusi ubini wa mtu wewe, ujue hilo ni jina la baba yake halafu wewe unatukana ovyo, tuwe wastaarabu, maisha hayaishii nyuma ya keyboard!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom