ladybutterfly
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 215
- 59
Mgahawa unaitwa Upcountry Kitchen Taste uliyopo Kibosho Mweka- Kilimanjaro, unatangaza nafasi 2 za wahudumu.
Muombaji awe wa jinsia ya kike na mkazi wa Kilimanjaro, awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea pia awe na mafunzo ya kutoa huduma mgahawani angalau ngazi ya cheti, mwenye uzoefu atapewa kipaumbele. Muombaji awe smart, msafi, anayejituma na anayejitambua.
Huduma ya chakula cha asubuhi, mchana na usiku pamoja na makazi zinapatikana hapo hapo.
Maombi yote yatumwe kupitia namba hii ya simu
0754465412
Sent using Jamii Forums mobile app
Muombaji awe wa jinsia ya kike na mkazi wa Kilimanjaro, awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea pia awe na mafunzo ya kutoa huduma mgahawani angalau ngazi ya cheti, mwenye uzoefu atapewa kipaumbele. Muombaji awe smart, msafi, anayejituma na anayejitambua.
Huduma ya chakula cha asubuhi, mchana na usiku pamoja na makazi zinapatikana hapo hapo.
Maombi yote yatumwe kupitia namba hii ya simu
0754465412
Sent using Jamii Forums mobile app