Nafasi za kazi Egotel nafasi 617

Ebu Mwenye Company Profile,Memorandum & Article of Association aiweke tuijue maana isije ikawa kama Hits-Tanzania(0741xxxxxx) ilituumiza kweli tuliacha laki 9.2 tigo tukakimbilia $2000 mbona zilitutokea puani......Kwanini utume kwa kutumia P.o Box ktk ulimwengu wa kidigital?
 
Epocha & Golden Ocean (Tanzania) Limited, Plot 145, Regent Estate, Migombani street , P o Box 110230 Dar es Salaam, Tanzania. Kwa wale wasiojua town ni karibu na office za ZANTEL OFFICE. BAGAMOYO ROAD AU KARIBU NA UBALOZI WA MAREKANI KAMA UNAELEKEA MYFAIR KUNJA KONJA KUSHOTO UTAONA KIBAO CHA MTAA WA MIGOMBANI POA WAKUU
 
Ebu Mwenye Company Profile,Memorandum & Article of Association aiweke tuijue maana isije ikawa kama Hits-Tanzania(0741xxxxxx) ilituumiza kweli tuliacha laki 9.2 tigo tukakimbilia $2000 mbona zilitutokea puani......Kwanini utume kwa kutumia P.o Box ktk ulimwengu wa kidigital?

Digital sio wote. post box inawasaidia kupata uhalisia wa hand writting and not typed letters.
Hao wazungu vietnamese wanajua forgery kwenye digital.
 
Habari wanajamii,

Kuna tangazo la kazi nimepokea kuhusu kampuni tajwa, nimejaribu ku-google iko registered na TCRA muda mrefu lakini inasuasua kwenye kuanza kwake. Kwenye form kuna physical address ya kampuni, according to the sender Deadline 30/06/2014.

ALL THE BEST

Hii ni Kampuni mpya ya mtandao wa simu toka Vietnam na Kuna kipindi nilishawahi kuigusia kidogo ila itaanza kuOperate hapa nchini soon. Research imeshakwisha sasa ni kuweka mambo sawa tu.
 
Ebu Mwenye Company Profile,Memorandum & Article of Association aiweke tuijue maana isije ikawa kama Hits-Tanzania(0741xxxxxx) ilituumiza kweli tuliacha laki 9.2 tigo tukakimbilia $2000 mbona zilitutokea puani......Kwanini utume kwa kutumia P.o Box ktk ulimwengu wa kidigital?

Mbona hamuombi memats za utumishi
 
Ego Upuuzi...acha nikomae na hiki kibiashara changu...kampuni tokea 2010 ina sua sua tu..
 
kila la heri! isije ikawa kama habari ya HITS kampuni ya simu iliyokuja kwa mbwembwe nyingi,watu wakaacha kazi wanaenda new telecom company! ikafa baada ya miezi miwili,kwenye gazeti la leo naona liquidator(mfilisi) wake ameshajitangaza ernest& young ndio wasimamizi wa show nzima ya HITS!!!!!!!!!!

Mkuu, umenikumbusha mbali sana--HITS sina hamu nayo--nilituma maombi ya kazi tangu mwaka 2011 lakini hadi leo nasubiri majibu! Hahahaha!
 
Epocha & Golden Ocean (Tanzania) Limited, Plot 145, Regent Estate, Migombani street , P o Box 110230 Dar es Salaam, Tanzania. Kwa wale wasiojua town ni karibu na office za ZANTEL OFFICE. BAGAMOYO ROAD AU KARIBU NA UBALOZI WA MAREKANI KAMA UNAELEKEA MYFAIR KUNJA KONJA KUSHOTO UTAONA KIBAO CHA MTAA WA MIGOMBANI POA WAKUU

Mkuu, nshaanza kuwa na address--hii ni anuani ya recruitment agent/company (cf Erolink for Vodacom & Infirnity for tiGO)--sio kampuni yenyewe inayokuja kuwekeza. Umeona eeh?
 
Hii ni Kampuni mpya ya mtandao wa simu toka Vietnam na Kuna kipindi nilishawahi kuigusia kidogo ila itaanza kuOperate hapa nchini soon. Research imeshakwisha sasa ni kuweka mambo sawa tu.

Itaanza kuoperate haijajenga hata mnara mmoja? Jihadhari na kampuni za mfukoni!
 
Baada ya kujaza iyo fomu tunaweka na nyeti kabisa au tunatuma fomu peke yake? Msaada plz
 
itaanza kuoperate haijajenga hata mnara mmoja? jihadhari na kampuni za mfukoni!

mkuu hii kampuni ilikuja hapa mwaka 2010 na ikaomba kibali na taratibu za usajili. Sikujua nini kilitokea katikati lakini mwaka huu ndio wamefanya research ya mawasiliano na wamezunguka mikoa zaidi ya 10 mpaka vijijini.Na kila mipango kwa sasa iko sawa na ndio maana wameamua kutoa mpaka nafasi za kazi.
SIDHANI KAMA KUNA TATIZO KATIKA HILI. Minara sio tatizo coz kuna kampuni hazina minara na zilianza kwa kulink toka mitandao mingine.
USIWAKATISHE TAMAA WENZIO.
 
mkuu hii kampuni ilikuja hapa mwaka 2010 na ikaomba kibali na taratibu za usajili. Sikujua nini kilitokea katikati lakini mwaka huu ndio wamefanya research ya mawasiliano na wamezunguka mikoa zaidi ya 10 mpaka vijijini.Na kila mipango kwa sasa iko sawa na ndio maana wameamua kutoa mpaka nafasi za kazi.
SIDHANI KAMA KUNA TATIZO KATIKA HILI. Minara sio tatizo coz kuna kampuni hazina minara na zilianza kwa kulink toka mitandao mingine.
USIWAKATISHE TAMAA WENZIO.

Na kweli mbona Zantel ilikuwa inategemea mingine sijui kwa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom