😣Hakuna simu wala email kama sio text
KivipHaya hayaaaaa kumenogaaaaa!
Wimbi la kelele litapungua baada ya CRDB kupunguza vijana kitaa kwani zaidi ya vijana 200 soon watalamba dume Huenda hii ikapunguza jam pale NMB na Utumishi
Soon utaelewa!Kivip
Kuna nafasi 100 za Direct Sales ExecutiveKivip
Hizi nafasi toka mwezi wa pili sijui wa kwanza ndo wanaita watu kipindi hiki?Kuna nafasi 100 za Direct Sales Executive
Kuna nafasi 100 za Business Development Officers plus other vacancies.
Tarehe 15 Jumatatu Training inaanza kila kanda nchi nzima.... so hapo lazima kuna ambao walikuwepo katika waliopata 80% and above ya NMB aptitude au nafasi zingine mbali mbali. So watakapoanza kazi wataweza kutoa fursa kwa wengine kupata nafsi.... umenielewa?
Corona but kila jambo huja kwa sababuHizi nafasi toka mwezi wa pili sijui wa kwanza ndo wanaita watu kipindi hiki?
Wenye Mia wako trainingVP nyie? Mhona kimya humu?
Walioko training ni CRDB wameanza leo hadi Jumamosi na wanaingia kwa awamu siku mbili kila group. Hao wa NMB bado aisee!
Lini hiyo Boss...na interview ni liniJamaa wameanza kutuma sms za kuwaita watu kwenye oral....kwa kanda ya ziwa
Interview ni ijumaa...isms imetumwa saa kumi na mbili jioni hiiLini hiyo Boss...na interview ni lini
Nadhan wataendelea na kesho na zones zingine kufataHapo sawa kidogo mtu anapata muda wa kujiandaa