Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,244
- 2,290
Afu hamna kinachoendelea baada ya kuambiwa umefaulu....nawajua watu walipigiwa simu zone ya kusini wakaambiwa wamefeli.Zone nyingine huko nasikia wao walipigiwa simu, kuambiwa hayo mnayosema mmeambiwa kwenye email.
Swali ni kwamba hata walio ambiwa wamefaulu hata kazi hawajapewa.