Patflax jr
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 1
Saluti kwenu wanajamvi kuonesha nawaheshimu.
Napenda kuuliza kama kuna mwenye fununi za ajira bandarini maana kuna tetesi nilisikia kuwa wametoa nafasi upande wa Takwimu ila kila nikijaribu kutafuta source ya taarifa hiyo nakosa.
Msaada plz
Napenda kuuliza kama kuna mwenye fununi za ajira bandarini maana kuna tetesi nilisikia kuwa wametoa nafasi upande wa Takwimu ila kila nikijaribu kutafuta source ya taarifa hiyo nakosa.
Msaada plz