ann056
Senior Member
- Nov 7, 2021
- 183
- 245
got uwhtsApp business na Whatsapp ya kawaida zote kwenye simu moja na namba tofauti. Usipo elewa na hapo ingia twitter.
Sent from my SH-02J using JamiiForums mobile app
got uwhtsApp business na Whatsapp ya kawaida zote kwenye simu moja na namba tofauti. Usipo elewa na hapo ingia twitter.
Sent from my SH-02J using JamiiForums mobile app
Tulieni wajukuu wangu sie tulipita huko dhahabu haiwezi ng'ara bila kupitishwa kwenye Moto mkalibabu umetukimbia umetuacha njia panda
Tulia mjukuu mazuri yajababu umetukimbia umetuacha njia panda
kwaiyo ndio umeamua ushitue watu ivi sababu wewe umepitia huko ?Tulieni wajukuu wangu sie tulipita huko dhahabu haiwezi ng'ara bila kupitishwa kwenye Moto mkali
Ujanani mjukuu wangu kusubiri ajira ni Jambo la kawaida subira yavuta kheriii kwanza huko mnakuwa raia tu hakuna kwata nzito mdebwedokwaiyo ndio umeamua ushitue watu ivi sababu wewe umepitia huko ?
Ujanani mjukuu wangu kusubiri ajira ni Jambo la kawaida subira yavuta kheriii kwanza huko mnakuwa raia tu hakuna kwata nzito mdebwedo
Mkiwa shortlisted mtupe majibu siyo tunawatia moyo alafu mje mturushie tope na magari yenu kitaa
Mwenye taarifa za uhakika ni mdada mmoja hivi rafiki yake Mr pianomanAma kweli za kuambiwa changanya na zako humu hakuna mtu yeyote mwenye taarifa za uhakika ni vyema kusubir tu
Anaitwa Cariha....huyo habar zake uwa ni 90%Mwenye taarifa za uhakika ni mdada mmoja hivi rafiki yake Mr pianoman
cariha unahitajika huku. Waajiriwa wapya wa pccb wamechoka kudanganywa, wanahitaji taarifa yenye uhakika.Mwenye taarifa za uhakika ni mdada mmoja hivi rafiki yake Mr pianoman
Amina,,,na ikawe ivyoMungu hufanya njia pasipo na njia!
Usishangae hii kuja kuwa sehemu ya ushuhuda kwenye maisha yako..