Nafasi za JKT ajira 2013.

Nafasi za JKT ajira 2013.

Torch

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
1,203
Reaction score
1,133
wakuu naomba kwa aliyejikoni mwenye kufahamu ni lini nafasi za jeshi zitatoka kupitia jkt, kwa mwaka huu 2013.
binafsi nimesikia juu juu(unconfirmed) kuwa zitatoka mwezi wa 9 mwishoni au wa 10.
naombeni mwenye taarifa zaidi za kina anifahamishe ili nifanye process za ku'apply.

note: nafasi hizo zisiwe kwa ajili ya form 6 leaver bali ajira rAsmi.
shukrani.
 
Mimi nipo hapa maweni magereza bi mdashi muaskali so ananipa some info kuwa mwezi wa tisa ivi wanaweza kutangaza ila kama ulivyo wewe huku pia taarifa azijawa confimd jembe@torch
 
Mimi nipo hapa maweni magereza bi mdashi muaskali so ananipa some info kuwa mwezi wa tisa ivi wanaweza kutangaza ila kama ulivyo wewe huku pia taarifa azijawa confimd jembe@torch

Asante ngoja nitafute kabisa mtu wa.kunishika mkono haya mambo diku hizi magumu sana.
 
Nasikia ofisi ya mgambo/mafunzo pale kwa mkuu wa wilaya taarifa za jkt/jwtz unaweza ukapata,tuwe tunatembelea mara kwa mara ukipata info tujuzane..
 
kaka watu wa jkt walienda udsm walitaka graduate wa engineering only hiyo ndo update niliyokua nayo ilikuwa 23/11
 
Nasikia ofisi ya mgambo/mafunzo pale kwa mkuu wa wilaya taarifa za jkt/jwtz unaweza ukapata,tuwe tunatembelea mara kwa mara ukipata info tujuzane..

wakufunzi nimewafuaata Mara nyingi hawana majibu mazuri
 
kaka watu wa jkt walienda udsm walitaka graduate wa engineering only hiyo ndo update niliyokua nayo ilikuwa 23/11

man tindwa ilikuwa trh 25/11. Trh 23/11 ilikuwa graduu mkuu umesahau nn..ndan ya tai nyekundu..waliokuja udsm ni jw air force na ilikua kwa engineeers tu.
 
Back
Top Bottom