nivoj.sued
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 221
- 190
Kwa nini unafikiri hivyo, wakati huu ni ukurasa wa matangazo madogo madogo?Huu ni uhuni sasa
Daaa hapo shida kada yetu ya ualimu tunasoma masomo mawili au moja sasa sijaelewa unapo alie soma PCB ina maana anakuja kufundisha masomo yote matatu au atafundish ya professional yake ?
Kama huna vigezo tulia mkuu
Daaa hapo shida kada yetu ya ualimu tunasoma masomo mawili au moja sasa sijaelewa unapo alie soma PCB ina maana anakuja kufundisha masomo yote matatu au atafundish ya professional yake ?
Daaa hapo shida kada yetu ya ualimu tunasoma masomo mawili au moja sasa sijaelewa unapo alie soma PCB ina maana anakuja kufundisha masomo yote matatu au atafundish ya professional yake ?
Sent using Jamii Forums mobile app