cris emanuel
Member
- Oct 23, 2018
- 16
- 10
Wanahitajika wafanyakazi wa kazini mbalibali kwenye kampuni yetu kama madereva kujaza mafuta kwenye nagari na wafanyakazi kwenye min super market zetu mawasiliano 0717342414
akikujibu nambieNilikua sijaona vizuri, . Nafasi ya kazini au nafasi za kazi.
Nilikua sijaona vizuri, . Nafasi ya kazini au nafasi za kazi.
Wanahitajika wafanyakazi wa kazini mbalibali kwenye kampuni yetu kama madereva kujaza mafuta kwenye nagari na wafanyakazi kwenye min super market zetu mawasiliano 0717342414
Bora ata wakwambie elfu kumi kuliko 50 mi mewaambia niwape 50 wanipeleke kwa meneja mwajili ili nianze kazi nkawambia wanipeleke tyu iyo 50 cna kwa sasa ila watanikata mwisho wa mwezi kwenye mshahara wangu tena wasikate 50 wakate laki nzima wakesema niwape barua watanipigia cm apa ndo nasikilizia wanipigie cm hahahaaaaaaaaa haaaaaaUnauliza ofisi yenu inaitwaje anakuambia njoo magomeni ukifika piga simu,uje na elfu 10.hawa watu wanaharibu sana majukwaa yanajitahidi kutangaza nafasi za kazi na kupoteza MB za watu
Izo Nafas bado zipoWanahitajika wafanyakazi wa kazini mbalibali kwenye kampuni yetu kama madereva kujaza mafuta kwenye nagari na wafanyakazi kwenye min super market zetu mawasiliano 0717342414