Nafasi ya kazi

Nafasi ya kazi

Kiba

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
459
Reaction score
62
Uongozi wa Sunshine academy iliyopo Lamadi eneo la makanisani wilayani Busega, unatoa nafasi ya kazi kwa Mwl.

Sifa: Awe na ECD certificate au diploma
Awe anaishi Busega.
Awe ndio katoka chuo.

Kwa mawasiliano piga namba +255756506024 email amedeusmushi88@gmail.com au tuma sms kwenye whatsapp namba hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom