Kuna mradi ya kusaga,kukoboa, kupaki na kuuza nafaka utaanza mwezi september mwanzoni, anahitajika meneja mwenye uzoefu na kazi hiyo, kazi itakua hapa Dar es salaam.
Pia anahitajika mtu mwenye uzoefu kwenye kuchanganya chakula cha mifugo
Pia nahitajika mtu mwenye uzoefu wa kusimamia ufugaji mkubwa wa kuku,
Elimu- Kidato cha nne kinatosha.
Mawasiliano: 0714 432979, tuma CV joemi.investment@gmail.com
Pia anahitajika mtu mwenye uzoefu kwenye kuchanganya chakula cha mifugo
Pia nahitajika mtu mwenye uzoefu wa kusimamia ufugaji mkubwa wa kuku,
Elimu- Kidato cha nne kinatosha.
Mawasiliano: 0714 432979, tuma CV joemi.investment@gmail.com