ladybutterfly
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 215
- 59
Mgahawa unaitwa Upcountry Kitchen Taste upo Kibosho Mweka- Kilimanjaro, unatangaza nafasi ya mpishi.
Muombaji awe jinsia ya kike pia awe na ujuzi wa kupika vyakula vyote vya kiTanzania kuanzia vitafunwa mpaka main dishes , awe mkazi wa Kilimanjaro .
Huduma ya chakula cha asubuhi, mchana na usiku kwa staff inatolewa na employer.
Maombi yote yatumwe WhatsApp kupitia namba ya simu 0752808396.
Muombaji awe jinsia ya kike pia awe na ujuzi wa kupika vyakula vyote vya kiTanzania kuanzia vitafunwa mpaka main dishes , awe mkazi wa Kilimanjaro .
Huduma ya chakula cha asubuhi, mchana na usiku kwa staff inatolewa na employer.
Maombi yote yatumwe WhatsApp kupitia namba ya simu 0752808396.