Nafasi ya kazi Secretary Arusha

Nafasi ya kazi Secretary Arusha

Transparen

Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
80
Reaction score
106
Wakuu salama humu anatafutwa Binti mwenye good customer care kwa ajiri ya kuwa secretary Kampuni yetu ni mpya ina deal na mambo ya Utalii na Usafirishaji tunakamilisha kibali tuanze kazi ofisi zitakuwa Town mbele ya Equity bank, Hivo kama una sifa hizo na ni mdada umri kuanzia 18 -30 unakaribishwa kwa ajili ya usaili nitumie mawasiliano yako pm au Kwa email hii jonnesford@gmail.com karibuni
 
Wakuu salama humu anatafutwa Binti mwenye good customer care kwa ajiri ya kuwa secretary Kampuni yetu ni mpya ina deal na mambo ya Utalii na Usafirishaji tunakamilisha kibali tuanze kazi ofisi zitakuwa Town mbele ya Equity bank, Hivo kama una sifa hizo na ni mdada umri kuanzia 18 -30 unakaribishwa kwa ajili ya usaili nitumie mawasiliano yako pm au Kwa email hii jonnesford@gmail.com karibuni
yupo mwenye uzoefu wa secretary miaka 4, kampuni tofauti ikiwemo mawenzi insuarance, anapatikana arusha mjini, nakutumia namba zake pm
 
mbona ninahisi kuna age discrimination hapa?
Kama utakuwa willing to do a job then you are welcome, Oprah huyo ana around 50 ili ukimuona ni kama yuko kwenye 27, Age nimeipa kipaumbele kwa vile dada zetu wakivuka 30 hujiachia na kupoteza muonekano
 
Kama utakuwa willing to do a job then you are welcome, Oprah huyo ana around 50 ili ukimuona ni kama yuko kwenye 27, Age nimeipa kipaumbele kwa vile dada zetu wakivuka 30 hujiachia na kupoteza muonekano
Now you are talking, na Oprah is my role model.
 
mkuu nina rafiki zangu 3 wawili Wan elimu ya 4m4 ila mmoja darasa la saba ila ni dereva mzoefu alishasafirisha mizigo mpk nje ya nchi ila hao wa 4m4 mmoja nae kasoma udereva ukiitaji hao watu unishtue mkuu nikuunge nao
 
mkuu nina rafiki zangu 3 wawili Wan elimu ya 4m4 ila mmoja darasa la saba ila ni dereva mzoefu alishasafirisha mizigo mpk nje ya nchi ila hao wa 4m4 mmoja nae kasoma udereva ukiitaji hao watu unishtue mkuu nikuunge nao
Sawa boss pakiwa na needs za hao ntakucheki
 
Wakuu salama humu anatafutwa Binti mwenye good customer care kwa ajiri ya kuwa secretary Kampuni yetu ni mpya ina deal na mambo ya Utalii na Usafirishaji tunakamilisha kibali tuanze kazi ofisi zitakuwa Town mbele ya Equity bank, Hivo kama una sifa hizo na ni mdada umri kuanzia 18 -30 unakaribishwa kwa ajili ya usaili nitumie mawasiliano yako pm au Kwa email hii jonnesford@gmail.com karibuni

Hii imekaa poa, tutajaribu bahati zetu!! Peace
 
Wakuu salama humu anatafutwa Binti mwenye good customer care kwa ajiri ya kuwa secretary Kampuni yetu ni mpya ina deal na mambo ya Utalii na Usafirishaji tunakamilisha kibali tuanze kazi ofisi zitakuwa Town mbele ya Equity bank, Hivo kama una sifa hizo na ni mdada umri kuanzia 18 -30 unakaribishwa kwa ajili ya usaili nitumie mawasiliano yako pm au Kwa email hii jonnesford@gmail.com karibuni
Hello me nimesoma it but niaweza pia hiyo ya Secretary pls niko serious
 
Wakuu salama humu anatafutwa Binti mwenye good customer care kwa ajiri ya kuwa secretary Kampuni yetu ni mpya ina deal na mambo ya Utalii na Usafirishaji tunakamilisha kibali tuanze kazi ofisi zitakuwa Town mbele ya Equity bank, Hivo kama una sifa hizo na ni mdada umri kuanzia 18 -30 unakaribishwa kwa ajili ya usaili nitumie mawasiliano yako pm au Kwa email hii jonnesford@gmail.com karibuni
Mungu asaidie nimeku pm mkuu
 
sawa mkuu maana washakaa mtaani sana hao raia mpk nimewaonea huruma
Sio jambo jema kuwaomba kazi kwenye kampuni au kwa mtu kwa kigezo cha kuwaonea huruma. Ni vyema ungezumgumzia issue za perfomance na kukazia kwa sana ingesaidia zaidi. ila kusema wamekaa kitaa mpaka unawahurumia kunaondoa uwezekano wa kupewa kazi hasa kwa waajiri makini.
Kwa usawa huu, watu wamefocus zaidi kwenye production/uzalishaji (faida) ambayo huletwa na watu wenye Ufanisi katika kazi mbali na changamoto zao za maisha.
 
Sio jambo jema kuwaomba kazi kwenye kampuni au kwa mtu kwa kigezo cha kuwaonea huruma. Ni vyema ungezumgumzia issue za perfomance na kukazia kwa sana ingesaidia zaidi. ila kusema wamekaa kitaa mpaka unawahurumia kunaondoa uwezekano wa kupewa kazi hasa kwa waajiri makini.
Kwa usawa huu, watu wamefocus zaidi kwenye production/uzalishaji (faida) ambayo huletwa na watu wenye Ufanisi katika kazi mbali na changamoto zao za maisha.
nilishamweleza kuwa wa wili wana elimu ya form four ila mmoja darasa la saba na kati ya hao wawili mmoja ana ujuzi /elimu ya kuendesha msgari ila huyo wa lasaba yeye alishawai kuendesha magari makubwa ya mizigo
 
Back
Top Bottom