mdaumzalendo1
Member
- Feb 2, 2018
- 76
- 50
Habari;
Anahitajika msichana kati ya miaka 19 hadi 23 kwa nafasi ya kazi ya Personal Assistant kwa Dar es Salaam.
Awe na ujuzi wa lugha ya kiingereza na kiswahili,
awe anajua kutumia kompyuta.
Awe mwepesi kujifunza haraka kwani kutakuwa na mambo mengi sana ya kufanya.
Anahitajika msichana kati ya miaka 19 hadi 23 kwa nafasi ya kazi ya Personal Assistant kwa Dar es Salaam.
Awe na ujuzi wa lugha ya kiingereza na kiswahili,
awe anajua kutumia kompyuta.
Awe mwepesi kujifunza haraka kwani kutakuwa na mambo mengi sana ya kufanya.