Raymond Chanzi Member Oct 18, 2015 12 3 Dec 11, 2016 #1 Tunahitaji kijana wa Kazi za lodge ,vigezo ni awe anajua kusoma na kuandika ,na ni asiwe na umri uliozidi miaka 23,pia msafi kwa ujumla .Lodge ipo airport karakata na bagamoyo. Kwa mawasiliano zaidi piga no,ifuatayo 0623725742
Tunahitaji kijana wa Kazi za lodge ,vigezo ni awe anajua kusoma na kuandika ,na ni asiwe na umri uliozidi miaka 23,pia msafi kwa ujumla .Lodge ipo airport karakata na bagamoyo. Kwa mawasiliano zaidi piga no,ifuatayo 0623725742
Lumbi9 JF-Expert Member Oct 12, 2014 8,566 11,809 Dec 11, 2016 #2 weka kazi atakazofanya huko kazini, mbona wabongo wagumu
Kajolijo JF-Expert Member May 30, 2016 3,364 4,607 Dec 11, 2016 #3 peterchoka said: weka kazi atakazofanya huko kazini, mbona wabongo wagumu Click to expand... Inaitwa job discrption kwa ung'eng'e Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
peterchoka said: weka kazi atakazofanya huko kazini, mbona wabongo wagumu Click to expand... Inaitwa job discrption kwa ung'eng'e Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Mediocrist JF-Expert Member Jan 27, 2015 1,694 926 Dec 11, 2016 #6 Kama haujasoma hotel management ujue hauna chako hapo!
Mwaikibaki JF-Expert Member Mar 19, 2015 2,975 3,624 Dec 12, 2016 #9 Mkuu tuletee JD a.k.a mchanganuo wa majukumu na pakee husika!
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,758 Dec 12, 2016 #10 Asiwe na umri unaozidi miaka 23 ,kwahyo siku akifikisha miaka 25 mnamtoa baruu?