Nafasi ya kazi leo tarehe 2 october

ladyfurahia

JF-Expert Member
May 10, 2011
14,699
9,461
Jamani waungwana wanajamii wenzangu kuna nafasi ya kazi zimetangazwa kupitia gazeti la
NIPASHE la leo fuatilieni muone na kuomba hapo kwani nimelisoma leo hii asubuhi
nafasi zenyewe ni:

1 Auditor (mwenye ujuzi wa CPA)

2 Secretary (mwenye uujuzi wa microsoft office, mfano word, excel, publisher n.k na ujuzi wa Tally)

3 Office Assistant

4 KATIKA NGO's kuna nafasi pia

fuatilieni mtapata hapo
 
Come on Ladyfurahia,tuwekee basi hiyo NGO,maana hilo gazeti kulipata ni mpk siku 3 zijazo.Si unajua tena mabo ya pori kwa pori!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom