ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,461
Jamani waungwana wanajamii wenzangu kuna nafasi ya kazi zimetangazwa kupitia gazeti la
NIPASHE la leo fuatilieni muone na kuomba hapo kwani nimelisoma leo hii asubuhi
nafasi zenyewe ni:
1 Auditor (mwenye ujuzi wa CPA)
2 Secretary (mwenye uujuzi wa microsoft office, mfano word, excel, publisher n.k na ujuzi wa Tally)
3 Office Assistant
4 KATIKA NGO's kuna nafasi pia
fuatilieni mtapata hapo
NIPASHE la leo fuatilieni muone na kuomba hapo kwani nimelisoma leo hii asubuhi
nafasi zenyewe ni:
1 Auditor (mwenye ujuzi wa CPA)
2 Secretary (mwenye uujuzi wa microsoft office, mfano word, excel, publisher n.k na ujuzi wa Tally)
3 Office Assistant
4 KATIKA NGO's kuna nafasi pia
fuatilieni mtapata hapo