hirorobert
Member
- Sep 9, 2011
- 58
- 30
Kuna kijana nlimsikia siku moja analalamika ana CPA ,MBA ila hana uzoefu, wanamtosa kwenye ajira sijui kama alishapata kazi kama bado kuna empty anaweza wasiliana na mimi ,pia ni kwa yeyote mwenye atleast MBA naweza nkam referee akaipata ni urgent
hirorobert@yahoo.com
hirorobert@yahoo.com