Nafasi ya kazi dubai

Nafasi ya kazi dubai

kishegheni

Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
21
Reaction score
85
Anatafutwa mwanamke/mama kwenda kufanya kazi za ndani (housemaid) nchini Dubai.
Awe na sifa zifuatazo:


  • Awe na umri wa miaka 35 na kuendelea
  • Muumini kwa Kiislam
  • Aweze kuongea Kiingereza na Kiswahili kwa ufasaha
  • Ujuzi wa kufanya kazi za ndani (house keeping) ni muhimu
  • Awe Mwaminifu na mchapa k
 
Anatafutwa mwanamke/mama kwenda kufanya kazi za ndani (housemaid) nchini Dubai.
Awe na sifa zifuatazo:


  • Awe na umri wa miaka 35 na kuendelea
  • Muumini kwa Kiislam
  • Aweze kuongea Kiingereza na Kiswahili kwa ufasaha
  • Ujuzi wa kufanya kazi za ndani (house keeping) ni muhimu
  • Awe Mwaminifu na mchapa kazI

Tuma CV kwa E-mail: dvisass@yahoo.com
Hapo kwenye red naona utakula za uso... kama ni udini kwanini usitafute wanaojua Kiarabu maana... nakushauri tangazo lako lipeleke Malawi au Kenya huko ndio wanapofahamu umuhimu wa lugha uitakayo... Unaleta matani eti Lugha kiufasaha.....! Bongo...
 
Back
Top Bottom