Nafasi 2 za Kazi Future Group Company..

Nafasi 2 za Kazi Future Group Company..

Tuwaseme

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
645
Reaction score
1,194
Habari zenu

Future Group Company inashukuru kwa wale wote waliojitokeza kupiga Simu kwa Ajili ya Kesho 02-02-2018 kufika kwenye Usahili wa nafasi ya Salesman.

Kama umechelewa tafadhali tunaomba ututumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com zikitokea nafasi nyengine tutawasiliana..

Kama umechaguliwa usisahau Kufika na
1. Kopi ya Vyeti Vyako
2. Passport size 2
3. Kitambulisho Cha kupigia Kura au Kitambulisho cha Taifa au Pasi ya Kusafiria.

Asanteni Sana
 
haya mwendeni mkajionyeshe ila muwe makini nyie msiotaka kujulikana usije ukasikie
Muajiri; umepata wapi tangazo la kazi
Mshana;jf
Muajiri;riweke huko ofisini tuyasubiri yote yatakwenda kujitambulisha id zao huko central unafkiri serikali ya mchezo
mshanajr;jamani mi thread zangu za mauzauza tu sio za siasa ,kwanza naipenda serikali natumia Mshanajr
muajiri;alufonsi weka huko yarifikiri hatutayabamba kisa server iko ughaibuni na rire ri melo rimedinda kuwataja

ANGALIZO TU
 
Habari zenu

Future Group Company inashukuru kwa wale wote waliojitokeza kupiga Simu kwa Ajili ya Kesho 02-02-2018 kufika kwenye Usahili wa nafasi ya Salesman.

Kama umechelewa tafadhali tunaomba ututumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com zikitokea nafasi nyengine tutawasiliana..

Kama umechaguliwa usisahau Kufika na
1. Kopi ya Vyeti Vyako
2. Passport size 2
3. Kitambulisho Cha kupigia Kura au Kitambulisho cha Taifa au Pasi ya Kusafiria.

Asanteni Sana
Hongera sana mkuu kwa kutushirikisha kwenye ajira.
My concerns are:
Mtu wa degree kwa huo mshahara ni stahiki kweli?
Je kuna other allowance mfano: meals, and other incentives?
Walau mngekua mnalipa hata 500,000/= ingekua reasonable kwa mtu wa elimu hiyo mnayoitaka. I.e degree
 
matapeli hawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeenda
 
Habari yako, Samahani kwa Usumbufu. Kwa kuwa walioomba kufika kwenye Usahili wa Kesho ni wengi. Hivyo basi kesho tutaanza na wachache, Wewe tunaomba tutakujulisha Siku nyengine ya Usahili. Kwa sasa tutumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com From: Future Group Company HR. Asante
 
Habari yako, Samahani kwa Usumbufu. Kwa kuwa walioomba kufika kwenye Usahili wa Kesho ni wengi. Hivyo basi kesho tutaanza na wachache, Wewe tunaomba tutakujulisha Siku nyengine ya Usahili. Kwa sasa tutumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com From: Future Group Company HR. Asante
 
nimeenda hawana jipya yale yale ya forever bt nilipoogopa eti unatakiwa udeposit laki moja ili waweze kukupa mzigo halafu kila mtu kwenye intervew amepata kazi ila usiwaambie wenzako nje
Duuuh changamoto
 
Yupo huku sana anatfuta tu wasichana
N'na machungu sana Inna.

Kuna ndugu zangu nimepoteana nao kitambo, Si kwamba hawapo. Wapo kwenye Majukwaa Pendwa. Hope siku nikipevuka basi nitawafuata huko-huko. Si unajua tena aliye Juu unamfuata huko huko?.

Ngoja niongee nae anitafutie mmoja, Nb; OLD soldiers train NEW soldiers.

Cc- Saint Ivuga .
 
N'na machungu sana Inna.

Kuna ndugu zangu nimepoteana nao kitambo, Si kwamba hawapo. Wapo kwenye Majukwaa Pendwa. Hope siku nikipevuka basi nitawafuata huko-huko. Si unajua tena aliye Juu unamfuata huko huko?.

Ngoja niongee nae anitafutie mmoja, Nb; OLD soldiers train NEW soldiers.

Cc- Saint Ivuga .
Hahaa pole san ndo kama hawa kina ivuga sio

Usiende akufundishe huyo utapotea na mm staki kukupoteza wew ndugu yangu
 
Hahaa pole san ndo kama hawa kina ivuga sio

Usiende akufundishe huyo utapotea na mm staki kukupoteza wew ndugu yangu
Ahsante kwa kuni-adilisha Ndugu.

Lakini nitapoteaje aise Inna ?, ning'ate sikio tafwadhali..
 
Back
Top Bottom