Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,329
- 6,851
kilahunja,
yaani makubwa haswaa!
Kweli huyu ndo MaKaNyaGa haswaaaa!
Ni kweli tangazo limetoka siku nyingi lakini mimi namuunga mkono yule aliyelitangaza tena.wale waliomponda waache dharau.maana watu hawana kazi moja tu ya kufungua jamii forum kila siku .unaweza chukua muda mwingi hujafungua kwasababu ya majukumu mengine ya msingi.Nia yake ilikuwa ni nzuri tu tena hajawa mchoyo.ameamua kuwatangazia na wengine ambao hawajaona sio kila unachokijua na mwingine anajua na sio kila ulichokiona jana na mwingine alikiona hiyohiyo jana. Sisi wote ni watz tunahitaji kusaidiana na kuheshimiana bila kuvunjiana heshima.
acha hizo,threads nyingi kila siku zinapita,mda wowote mtu anapoona kitu kipya anaweza kushare na wengine,we kama unaona haifai unapotezea wengine wataipitiakabla ya kutangaza anatakiwa afanye review ya angalau matangazo manne matano ivi, na ilo tangazo lilikua bado jipya na lilikua linafatana naili sasa nduguyangu kusoma hujui hata picha huoni.
acha hizo,threads nyingi kila siku zinapita,mda wowote mtu anapoona kitu kipya anaweza kushare na wengine,we kama unaona haifai unapotezea wengine wataipitia