Nimeanza uzalishaji wa nguruwe wa biashara! nitakuwa nauza kadiri ya mahitaji ya mteja, ninafuga kibiashara! nitahitaji wanunuzi wa mabucha na wafugaji, now niko kwenye uzalizaji nahitaji permanent buyer kwa mkataba n.k,, nilianza na nguruwe 25 size tofauti mwezi wa 6 mwishoni target yangu ni kutoa nguruwe 30 kila mwezi,kwa kuanzia na nitaendelea kadiri nitakavyozalisha.
Nina nguruwe waliokwisha zaa 6 na piglets 66 wenye mimba 13,, na wengine bado,, nimedhamiria kushika soko kwa uhakika bila kukosa bidhaa,, mbegu ninazozalisha ni largerwhite, landrace, saddleback, pertain na duroc,
Nategemea February niwe na nguruwe 400 na hapo ndipo nitakapoanza mauzo,,nimetembelea masoko mbalimbali , but bado sijapata permanent buyer!
Nguruwe wangu wanakula vizuri na wanakunywa maji ya kutosha kwa mfumo wa nipple, usafi ni kipaumbele, ndugu zangu mwenye masoko tujuzane!!! niko maeneo ya kerege bagamoyo.
Ansanteni
Nina nguruwe waliokwisha zaa 6 na piglets 66 wenye mimba 13,, na wengine bado,, nimedhamiria kushika soko kwa uhakika bila kukosa bidhaa,, mbegu ninazozalisha ni largerwhite, landrace, saddleback, pertain na duroc,
Nategemea February niwe na nguruwe 400 na hapo ndipo nitakapoanza mauzo,,nimetembelea masoko mbalimbali , but bado sijapata permanent buyer!
Nguruwe wangu wanakula vizuri na wanakunywa maji ya kutosha kwa mfumo wa nipple, usafi ni kipaumbele, ndugu zangu mwenye masoko tujuzane!!! niko maeneo ya kerege bagamoyo.
Ansanteni