nae huyu ni wakwe2 pia

nae huyu ni wakwe2 pia

Joined
Oct 2, 2012
Posts
18
Reaction score
8
[h=5]SEMINA UBUNGO PLAZA; Watu wakaanza kujitambulisha, wa1; mimi naitwa john niko UDOMmwaka wa wa pili, nasoma LAW; wa2 naitwa Stella niko UDSM mwaka wa tatu nasoma PUBLIC RELATION, wa3 kwa kusuasua saaana huku akijishtukia, aaah, aaaaahh, eeeehhh eeeeehh mimi naitwa Paulo niko TANESCO mwaka wa4 nasoma MITA!!!!! Watu hahahahahahahaaaaaahhhhh!!!!!!!!![/h]
 
[h=5]SEMINA UBUNGO PLAZA; Watu wakaanza
kujitambulisha, wa1; mimi naitwa john niko UDOMmwaka wa wa pili, nasoma
LAW; wa2 naitwa Stella niko UDSM mwaka wa tatu nasoma PUBLIC RELATION,
wa3 kwa kusuasua saaana huku akijishtukia, aaah, aaaaahh, eeeehhh
eeeeehh mimi naitwa Paulo niko TANESCO mwaka wa4 nasoma MITA!!!!! Watu
hahahahahahahaaaaaahhhhh!!!!!!!!!
[/h]

ha ha haah. nimeipenda hii!
 
mliochoka ni vizuri mka pumzika. too much is harm.... p/se
 
HAHAHAHAHAha hiii kweli kali na nimeipenda. mulioichoka sio lazima muisome ukiona heading usiifungue. kwetu ni nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom