Nadharia ya uchawi

Masseto

JF-Expert Member
May 14, 2020
1,589
3,105
Salaam Waungwana.

Jaman ninajambo uwa linanikosesha sana amani ifikapo usiku tena ni jambo linalojirudia rudia ata mara mbili kwa mwezi, kuzimiwa feni chumbani kwangu natumia feni ya mezani naPlug waya ukutani kwenye switch socket inafika muda nashtuka kuhisi joto naona switch imezimwa ukutani feni haiwaki.

Naiwasha tena socket itapita siku chache hii hali inajirudia tena nikahisi uenda ikawa ni shoti lakini hakuna kitu wala shoti inayosababisha socket kujizima, nikaamishia swich socket nyingine lakin nayenyewe ikifika usiku inazimwa kwenye mazingira ya kutatanisha feni inazimika joto linatanda ndani,

Mara siku nyingine nalala na nikiamka najikuta nimeelekea mwelekeo tofauti yaan miguuni ndio nimeelekezea kichwa na kichwani ndio nimeelekezea miguu,

Na tukio lingine uwa linatokeaga mara chache yaan nalala na simu yangu kitandan lakin ikifika asubuh naikuta simu ipo kwenye kochi ikiwa imechomolewa earphones na chaja

Nikajaribu kuwauliza wanazengo wakaniambia uenda hao wakawa Wachawi wanapokuwangia wanapokumwagia madawa yao ya ungaunga kwaiyo wanakuzimia feni ili isije ikaharibu uelekeo wa dawa ikapeperushwa na upepo wa feni ndio maana wananizimia feni, kuna wengine wananiambia nitege CCTV Camera nitaona kinachoendelea.

Je' ivi ni kweli cctv camera inauwezo wa kunasa matukio ya kishirikina maana naweza nikaingia cost za kununua cctv na isiwe msaada.
 
Pengine huwa una tatizo la kutembea ukiwa usingizini. Unaamka kabisa unazima feni, unaenda kwenye kochi na simu yako kisha unarudi kitandani bila kujua. Jaribu kuwa unavuta kumbukumbu.

Kuna kipindi nilikuwa nalala huku radio ipo on. Lakini nikiamka nakuta imezimwa. Ila nikaja kugundua usiku pakiwa kimya sana unahisi sauti ya radio ni kubwa sana. Hivo nilikuwa naamka mwenyewe na kwenda kuizima.

Na ni baada ya hiyo siku kwenda kuizima nikajigonga mguu kwenye stand. Yale maumivu hali ya usingizi ikakata hivo nikaanza kuwaza nilikuja huku kufanya nini? Ndio nikakumbuka kelele za radio zilikuwa zinanikera hadi ndotoni.

Yawezekana hiyo feni usiku huwa inakusumbua. Na unaizima mwenyewe ukiwa upo kwenye hali ya usingizi. Yawezekana usiku unataka kuweka simu chaji unajikuta unaiweka hapo kwenye kochi kutokana na usingizi.
 
Pengine huwa una tatizo la kutembea ukiwa usingizini. Unaamka kabisa unazima feni, unaenda kwenye kochi na simu yako kisha unarudi kitandani bila kujua. Jaribu kuwa unavuta kumbukumbu.

Kuna kipindi nilikuwa nalala huku radio ipo on. Lakini nikiamka nakuta imezimwa. Ila nikaja kugundua usiku pakiwa kimya sana unahisi sauti ya radio ni kubwa sana. Hivo nilikuwa naamka mwenyewe na kwenda kuizima. Na ni baada ya hiyo siku kwenda kuizima nikajigonga mguu kwenye stand. Yale maumivu hali ya usingizi ikakata hivo nikaanza kuwaza nilikuja huku kufanya nini? Ndio nikakumbuka kelele za radio zilikuwa zinanikera hadi ndotoni.

Yawezekana hiyo feni usiku huwa inakusumbua. Na unaizima mwenyewe ukiwa upo kwenye hali ya usingizi. Yawezekana usiku unataka kuweka simu chaji unajikuta unaiweka hapo kwenye kochi kutokana na usingizi.
Inawezakana.
 
Pengine huwa una tatizo la kutembea ukiwa usingizini. Unaamka kabisa unazima feni, unaenda kwenye kochi na simu yako kisha unarudi kitandani bila kujua. Jaribu kuwa unavuta kumbukumbu.

Kuna kipindi nilikuwa nalala huku radio ipo on. Lakini nikiamka nakuta imezimwa. Ila nikaja kugundua usiku pakiwa kimya sana unahisi sauti ya radio ni kubwa sana. Hivo nilikuwa naamka mwenyewe na kwenda kuizima. Na ni baada ya hiyo siku kwenda kuizima nikajigonga mguu kwenye stand. Yale maumivu hali ya usingizi ikakata hivo nikaanza kuwaza nilikuja huku kufanya nini? Ndio nikakumbuka kelele za radio zilikuwa zinanikera hadi ndotoni.

Yawezekana hiyo feni usiku huwa inakusumbua. Na unaizima mwenyewe ukiwa upo kwenye hali ya usingizi. Yawezekana usiku unataka kuweka simu chaji unajikuta unaiweka hapo kwenye kochi kutokana na usingizi.
Mwalimu wangu Titicomb hapa najua wewe na Miss Paula mtaelewana vizuri kabisa.!!
 
Pengine huwa una tatizo la kutembea ukiwa usingizini. Unaamka kabisa unazima feni, unaenda kwenye kochi na simu yako kisha unarudi kitandani bila kujua. Jaribu kuwa unavuta kumbukumbu.

Kuna kipindi nilikuwa nalala huku radio ipo on. Lakini nikiamka nakuta imezimwa. Ila nikaja kugundua usiku pakiwa kimya sana unahisi sauti ya radio ni kubwa sana. Hivo nilikuwa naamka mwenyewe na kwenda kuizima. Na ni baada ya hiyo siku kwenda kuizima nikajigonga mguu kwenye stand. Yale maumivu hali ya usingizi ikakata hivo nikaanza kuwaza nilikuja huku kufanya nini? Ndio nikakumbuka kelele za radio zilikuwa zinanikera hadi ndotoni.

Yawezekana hiyo feni usiku huwa inakusumbua. Na unaizima mwenyewe ukiwa upo kwenye hali ya usingizi. Yawezekana usiku unataka kuweka simu chaji unajikuta unaiweka hapo kwenye kochi kutokana na usingizi.
lakin button ya feni ipo inakuwaje naenda kuizimia socket ukutani, kama ni ivyo Nitajaribu kujifunga minyororo kitandani nione kama uwa natembea ndotoni..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengine huwa una tatizo la kutembea ukiwa usingizini. Unaamka kabisa unazima feni, unaenda kwenye kochi na simu yako kisha unarudi kitandani bila kujua. Jaribu kuwa unavuta kumbukumbu.

Kuna kipindi nilikuwa nalala huku radio ipo on. Lakini nikiamka nakuta imezimwa. Ila nikaja kugundua usiku pakiwa kimya sana unahisi sauti ya radio ni kubwa sana. Hivo nilikuwa naamka mwenyewe na kwenda kuizima. Na ni baada ya hiyo siku kwenda kuizima nikajigonga mguu kwenye stand. Yale maumivu hali ya usingizi ikakata hivo nikaanza kuwaza nilikuja huku kufanya nini? Ndio nikakumbuka kelele za radio zilikuwa zinanikera hadi ndotoni.

Yawezekana hiyo feni usiku huwa inakusumbua. Na unaizima mwenyewe ukiwa upo kwenye hali ya usingizi. Yawezekana usiku unataka kuweka simu chaji unajikuta unaiweka hapo kwenye kochi kutokana na usingizi.

Hili ndio jibu. Kuna kipindi nilishatoka hadi nje ila nikasahau badala ya kurudi kule ndani nikaelekea kwenye zizi la ng'ombe.
Baada ya mifugo kukimbiakimbia ndio akili zikarudi,,,, cha ajabu unakuwa usingizini na bado unatembea
 
lakin button ya feni ipo inakuwaje naenda kuizimia socket ukutani, kama ni ivyo Nitajaribu kujifunga minyororo kitandani nione kama uwa natembea ndotoni..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na usingizi utaona hata kupapasa hiyo button haitazima vizuri ni bora kuzima ukutani kwenye socket kabisa.

Haujawahi kuwa umelala una usingizi mzito mtu anakusumbua kukupigia simu, unakata lakini haelewi anapiga tuu? Na njia pekee unaona ni kuchomoa battery au SIM card kabisa?
 
Unawezaje kufanya kitu alafu usikumbuke? Uamke kitandani ufanye kitu na urudi tena kitandan then usijue kuwa ni wewe si kweli otherwise una matatizo ya akili.Uchawi upo mauzauza yapo cha msingi vita ya uchawi siyo cctv ni imani yako ilikosimama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha.!
Ila mwalimu wangu, naamini ipo siku utakubali kuwa uchawi upo..!!
Mwalimu wako yupo sahihi.
Jambo lolote tunatafuta kila angle yauwezekano wa jambo kama hiyo kutokea. Kama halithibitiki kwa namna yoyote ile, tumepekua kila mahali halithibitiki. Tunasema "labda ndio uchawi wenyewe wanaosemaga upo". Yaani hapo ni mwisho kabisa Carleen.
 
Mwalimu wako yupo sahihi.
Jambo lolote tunatafuta kila angle yauwezekano wa jambo kama hiyo kutokea. Kama halithibitiki kwa namna yoyote ile, tumepekua kila mahali halithibitiki. Tunasema "labda ndio uchawi wenyewe wanaosemaga upo". Yaani hapo ni mwisho kabisa Carleen.
😂 😂
Paula I swear, likija jambo ambalo mtanyoosha mikono na kuukubali uchawi naomba unitag popote pale, maana najua hata jambo liwe impossible vipi, ama livunjeje kanuni ya nature, bado tu najua kuna namna mtalitafutia angle halafu mlichomekee chomekee.!
 
Back
Top Bottom