Nadhani nimesahau kukasirika

Bana weee kaa ivoivo!! kwani watu wa nini???? sanasana watakuja kukuibia mkeo tu!! watu hawana maana ila unacho niudhi hayo mawazo yanayokuletea madonda....watu wengine mizigo tu!! wachawi, watakuletea ukimwi maksudi! mpaka utamani hali yako ya ukimya!

wote piga chini kama huwajui vile!! anza moja!
 
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…