Nacte wametoa selection zote

Hapana hapo sio kwamba ndio umekosa ingiza data vizuri na urudie tena ingiza namna yake ya mtihani S..../....
Mkuu kakosa acha kumfariji penye ukweli wengi walio kosa huandikwa hivyo hivyo
 
Halafu jamani sio akili zenu zote mmezigandisha uko kwenye vyuo vya Afya,na Veta nayo msiisahau,Veta sasaivi karibia kozi zao zote zina maketi katika jamii
 
kwa waelewa hawawezi kukupinga hiyo ndio hali halisi katika ushindani
 
Hivi huku Diploma za afya bado wanatoa mkopo au ni kupambana tu
 
tutathibitishaje kujiunga na chuo na kupata joining instruction, maana chuo nilichopangwa sioni namba zao mtandaoni au kwa mwenye mawasiliano ya newala school of nursing anisaidie tafadhari.
 
tutathibitishaje kujiunga na chuo na kupata joining instruction, maana chuo nilichopangwa sioni namba zao mtandaoni au kwa mwenye mawasiliano ya newala school of nursing anisaidie tafadhari.
Mkuu umejishindwa ata kujiongeza kutuma email kwao au
 
Mimi nina div 2 ya 18. Kwenye Afya nimeliwa kichwa namimi. Sema hii ilikuwa choice moja tu ya kujaribu bahati. Ninachokipenda IT na ICT nime apply vyuo 4, viwili private. Huko ni kuomba nipate hata kimoja.
 
Mimi nina div 2 ya 18. Kwenye Afya nimeliwa kichwa namimi. Sema hii ilikuwa choice moja tu ya kujaribu bahati. Ninachokipenda IT na ICT nime apply vyuo 4, viwili private. Huko ni kuomba nipate hata kimoja.
Pole mkuu
 
Nilimuombea dogo vyuo vya afya, kakosa ila nilichogundua ushindani ni mkubwa sana, naona kwenye cut off point wameweka na mtu mwenye alama ndogo zaidi (wa mwisho kuchaguliwa) kwenye course nyingi nimeona wana division 1, ila ukiangalia mwaka waliomaliza form four, utagundua kuwa hawa wengi wao ni wale waliofeli form six wametumia vyeti vyao visafi vya o level
 
Kwani mkuu vyuo vya private navyo je kuna ushindani pia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…