kamandawasua
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 326
- 86
Mambo vipi waungwana,
Kwa mwenye taarifa za lini matokeo ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya shahada zitatoka, na kwenye swala la "capacity" inayochange kila wakati inakuwaje hapo???
Mwenye maelezo/taarifa zozote kuhusu hayo namwomba atupatie.
Shukrani.
Kwa mwenye taarifa za lini matokeo ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya shahada zitatoka, na kwenye swala la "capacity" inayochange kila wakati inakuwaje hapo???
Mwenye maelezo/taarifa zozote kuhusu hayo namwomba atupatie.
Shukrani.