DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,904
- 4,229
Hi bosses,
Nimemaliza diploma ya clinical medicine 2011.
Sasa na-plan kupiga shule this year, ila kuna kitu kinanitatiza with regards to GPA inayohitajika wakati wa admission.
Ile paper ya NACTE (wizara ) ya NTA level 6 nina GPA ya 3.7, ila cumulative nina GPA ya 3.0 ,sasa wana consider ya mwisho (semester 6/paper ya wizara) au cumulative ?,thanks,l.
Regards,
Da Hustla.
Nimemaliza diploma ya clinical medicine 2011.
Sasa na-plan kupiga shule this year, ila kuna kitu kinanitatiza with regards to GPA inayohitajika wakati wa admission.
Ile paper ya NACTE (wizara ) ya NTA level 6 nina GPA ya 3.7, ila cumulative nina GPA ya 3.0 ,sasa wana consider ya mwisho (semester 6/paper ya wizara) au cumulative ?,thanks,l.
Regards,
Da Hustla.