majiyamtungi
Member
- May 13, 2018
- 38
- 22
Pitieni Hawa hapa mwanza, CBE, Tia ADEM, Afya, Na Chuo cha Mipango.
Nimejaribu kufuatilia ikiwamo hata informally kuongea na baadhi ya Walimu, Kuna Changamoto katika hivi vyuo.
Tunaojua Nini watoto wetu wanatakiwa kupata na kujifunza vyuoni tunahuzunishwa na habari hasi tunapokutana nazo. Tunahuzunika kwa sababu tunaona taifa linaangamia,, kuharibu Elimu ni kuua taifa,,
Tunakutana na habari ambazo si njema sana na namna Elimu inavyotolewa tena na vyuo vya umma, taarifa kuvuja kwa mitihani, mahusiano ya wakufunzi na Wanafunzi,, maksi zisizo akisi uwezo.
Hivi vyuo vya kati ni Mbadala wa Mfumo wa mitihani unaosimamiwa na Baraza La mitihani Tanzania. Ni mbadala kwa sababu ni mwanafunzi wa kidato cha sita ambae mtihani wake umelindwa na Polisi, Usalama wa Taifa,, ataingia chuo kikuu sawa tu na huyu ambae Maksi yake imetolewa na Mhadhiri wake kwa namna alivoona yeye, Sia ajabu wengi wakiingia kufanya shahada ya kwa kwanza wanapata tabu sana
Kuna historia ya uvujaji mitihani karibu kila mhula katika baadhi ya hivi vyuo kwa u chache wa nilicho jifunza hapa Jijini
Nimejaribu kufuatilia ikiwamo hata informally kuongea na baadhi ya Walimu, Kuna Changamoto katika hivi vyuo.
Tunaojua Nini watoto wetu wanatakiwa kupata na kujifunza vyuoni tunahuzunishwa na habari hasi tunapokutana nazo. Tunahuzunika kwa sababu tunaona taifa linaangamia,, kuharibu Elimu ni kuua taifa,,
Tunakutana na habari ambazo si njema sana na namna Elimu inavyotolewa tena na vyuo vya umma, taarifa kuvuja kwa mitihani, mahusiano ya wakufunzi na Wanafunzi,, maksi zisizo akisi uwezo.
Hivi vyuo vya kati ni Mbadala wa Mfumo wa mitihani unaosimamiwa na Baraza La mitihani Tanzania. Ni mbadala kwa sababu ni mwanafunzi wa kidato cha sita ambae mtihani wake umelindwa na Polisi, Usalama wa Taifa,, ataingia chuo kikuu sawa tu na huyu ambae Maksi yake imetolewa na Mhadhiri wake kwa namna alivoona yeye, Sia ajabu wengi wakiingia kufanya shahada ya kwa kwanza wanapata tabu sana
Kuna historia ya uvujaji mitihani karibu kila mhula katika baadhi ya hivi vyuo kwa u chache wa nilicho jifunza hapa Jijini