yaaan mfano wanaosubiri comfirmataxn angalia web ya chuo mf UDOM utaona wemetoa 2nd batch so jiangalie kule utajikuta kama inaonyesha upo selected UDOM bt notyet na kwa vyuo vingne ni hvyohvyo
Kwan pale kwenye website ya tcu mmeangalia mkakosa majina? au mpka confirmation ya profile,,mana mm kwenye profile langu bdo confirmation lakn kwenye website lipo jina sasa hapo sijaelewa
unajua hii system imekua na makosa mbali mbali so msiwazingatie wanaoshangaa kwan wao yalitoka bila shida ila ipo hv:-
1-unaweza ulione jina katka selection chuo flan ila profile yako inakwambia not yet comfirmd na katka general list ya tcu haupo.
2-unaweza kwenye profile selected ktk chuo flan na imecomfirm ila ktk list ya chuo majina haupo...
3-Selection in progrec lakin jina ushaliona chuo flan
na matatizo mengine kaza wa kaza so we hav to wait ndugu zangu zo cjui tl when coz inastress sana kukaa unasubr tuu kitu wakat wenzio washakipata wa wamesahau...
kwan pale kwenye website ya tcu mmeangalia mkakosa majina? Au mpka confirmation ya profile,,mana mm kwenye profile langu bdo confirmation lakn kwenye website lipo jina sasa hapo sijaelewa
yaaan mfano wanaosubiri comfirmataxn angalia web ya chuo mf UDOM utaona wemetoa 2nd batch so jiangalie kule utajikuta kama inaonyesha upo selected UDOM bt notyet na kwa vyuo vingne ni hvyohvyo