NACTE acheni uzembe

NACTE acheni uzembe

BGG

Senior Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
134
Reaction score
15
Nacte mmefunga mfumo kwa ajili ya uchaguzi tangu tarehe 15-9-2016 ni nini hasa kinawazuia kutoa majibu ya application zetu kwa takriban wiki mbili sasa kama sio uzembe?? Majibu ya haraka yanatusaidua kujua mapema jinsi ya kufanya maandalizi ya kwenda vyuoni au kutafuta fursa mmbadala kwa wakati toeni majibu.

Mfumo wenu wa cas. Vyuo vichache kwani mnachofanya kwasasa ni kuchukua pesa bila kujali muda stahiki wa mitaala ta kozi mbali mbali na maandalizi tanayotakiwa kufanya na wazazi kwa ajili ya kupeleka watoto vyuoni
 
WAMESHAFANYA SELECTION WALIO OMBA KATI YA TARE
HE 5-9-2016 HADI 15-9-2016 BAADA YA KUONGEZA HUO MUDA?? WAMEFANYA HIYO SELECTION LEO??
 
NACTE MMEFUNGA MFUMO KWA AJILI YA UCHAGUZI TANGU TAREHE 15-9-2016 NI NINI HASA KINAWAZUIA KUTOA MAJIBU YA APPLICATION ZETU KWA TAKRIBAN WIKI MBILI SASA KAMA SIO UZEMBE?? MAJIBU YA HARAKA YANATUSAIDUA KUJUA MAPEMA JINSI YA KUFANYA MAANDALIZI YA KWENDA VYUONI AU KUTAFUTA FURSA MMBADALA KWA WAKATI TOENI MAJIBU. MFUMO WENU WA CAS. VYUO VICHACHE KWANI MNACHOFANYA KWASASA NI KUCHUKUA PESA BILA KUJALI MUDA STAHIKI WA MITAALA TA KOZI MBALI MBALI NA MAANDALIZI TANAYOTAKIWA KUFANYA NA WAZAZI KWA AJILI YA KUPELEKA WATOTO VYUONI

Huyu lazima atakuwa kilaza kwa jinsi alivyoleta maada hata akipata chuo hamalizi tatadisco tu. Kama una uhakika wasi wa nini ilihali una vigezo?
 
mnawafosi watoe majina haraka mkikosa vyuo mnalalamika, wacha jamaa wafanye kazi yao kwa umakini kusiwe na malalamiko ya watu kuonewa.
 
Kuweni wapole kuna system wanaanda kwa wale ambao hawajamaliza kufanya app kwa sababu mbalimbali waweze kukamilisha zoezi hilo
 
nkijarbu kufungua nacte haifunguki inaandika hivi
1475310231865.png
 
Back
Top Bottom