Nachukia sana mtu anayelike picha zangu kila mara na kushea

Namba 26

JF-Expert Member
Oct 15, 2018
309
917
Naonaga kama usinichi flani we kila picha nayopost unalike tena wakati mwingine mpaka picha za miaka ya nyuma
Huku ni kuchunguzana kwa kiboya
Au wale wanapenda kushare picha zangu nazopost huo nao usnichi lazima nikublock tu kuepusha shari za mitandaoni ila ingekuwa tunaonana live ningekuchana na ungejibu ufala vikombe kadhaa ungekula.
 
Onea huruma mods mkuu...

Ishu personal ka hizi huku za nini!!?

Fuuuucc

Hizo picha unapost ili zione ng'ombe!? Alafu kama hutaki huyo mtu aone si ummblok..

Fff
 
Lengo la kupost hasa ni kuwa watu waone, na wakishaona watakaoipeda wata like...full stop, otherwise acha kupost
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Wakati unapost hukujua kama kuna options kwa uliowapostia kulike na kushare?
Pumb avu
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Naonaga kama usinichi flani we kila picha nayopost unalike tena wakati mwingine mpaka picha za miaka ya nyuma
Huku ni kuchunguzana kwa kiboya
Au wale wanapenda kushare picha zangu nazopost huo nao usnichi lazima nikublock tu kuepusha shari za mitandaoni ila ingekuwa tunaonana live ningekuchana na ungejibu ufala vikombe kadhaa ungekula.
Boya kwenye ubora wake
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Naonaga kama usinichi flani we kila picha nayopost unalike tena wakati mwingine mpaka picha za miaka ya nyuma
Huku ni kuchunguzana kwa kiboya
Au wale wanapenda kushare picha zangu nazopost huo nao usnichi lazima nikublock tu kuepusha shari za mitandaoni ila ingekuwa tunaonana live ningekuchana na ungejibu ufala vikombe kadhaa ungekula.
Usipost
 
Naonaga kama usinichi flani we kila picha nayopost unalike tena wakati mwingine mpaka picha za miaka ya nyuma
Huku ni kuchunguzana kwa kiboya
Au wale wanapenda kushare picha zangu nazopost huo nao usnichi lazima nikublock tu kuepusha shari za mitandaoni ila ingekuwa tunaonana live ningekuchana na ungejibu ufala vikombe kadhaa ungekula.
Ww ni KE au Me?
 
Back
Top Bottom