Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe kizembe umasikini ni laana
Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe
Umetisha aisee,ungekutana na Diamond akiwa na miaka 15,ungemtemea mate, u maskini sio kilema, lakini Leo, unaweza ukampa shikamoo!
Mwenye pesa hajigsmbi!
Ila kama unazo, hongera Sana,
U maskini usikie tu
Umetisha aisee,ungekutana na Diamond akiwa na miaka 15,ungemtemea mate, u maskini sio kilema, lakini Leo, unaweza ukampa shikamoo!
Mwenye pesa hajigsmbi!
Ila kama unazo, hongera Sana,
U maskini usikie tu