imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,049
Wenzetu wanasema "Taarikhh"...History! Historia yetu ni Tajiri tujivunie na sio tuchukiane.Hata Jina "Daresalaam" wameliasisi wao kama vile Warumi walivyoliasisi jina la "London".
Wenzetu wanasema "Taarikhh"...History! Historia yetu ni Tajiri tujivunie na sio tuchukiane.Hata Jina "Daresalaam" wameliasisi wao kama vile Warumi walivyoliasisi jina la "London".
Nilipata tetesi huyu mke wa kihindi kaka yake,ndio amejenga hiki kighorofa.Na wake wengine wapo nyumba za kawaida,lakini ni za tofali na bati.Lakini iweje kwa mke wa kihindi kuwe kusafi?Uchafu wao ndoujumlishe watanzania wote kuwa ni wachafu gwashee!
Wote hao unaowaona na kudhihirisha chuki waangalie wote hao ni mfumo Moja
Wamepigwa mihuri wamekuwa ni waajabu kuliko iblis ukiangalia chokochoko za hapa na pale ni wao kila jambo wao yaani ni wataalam wa fitna na chuki zote hongereniMtihani sana sheikh wangu, Allah atawaongoza
Inasemekana Wafalme wa Mapungubwe walikuwa wanafanya biashara sana na Masultani wa Kilwa Kisiwani na Sofala walikuwa wakipelekewa Vigoli vya Kiarabu na Kiajemi ili kuoana ili kuongeza undugu na IQ pia .
Allah,Yahwe,Ngai,Lord Shiva,Budha wote napokea Kheri zao.Allah akulipe kila la heri
Tukipiga kazi tusione aibu kuchanganya Damu na mbegu kutoka Mabara mengine au hata Afrika ya Kaskazini na Magharibi heshima itakuja tu.
Mfano hai Wachina,ilikuwa ni vigumu kuona Watalii wa Kichina kwenye Nchi za Magharibi leo wanakaribishwa kwa Red carpet (hapa nimeongezea chumi kidogo) tuchape kazi tuache ubaguzi wa kipuuzi na zulma.
Proudly mtoto wa ocean road na paka sasa mkazi na paka kuwa kiongozi wa kata ya kivukoni, bado tupo wazawa weusiSea View kuna washua kina Mkapa na Malecela kule.
Huku Don Bosco wafanyakazi wa serikali na wanajeshi wengi wamekwenda kwenye nyumba zao walizojenga nje kidogo ya mji.
Wapi mkuu pale viktoria au?Nenda kwenye ghorofa la waterfront pale kafanye maisha ghorofa lote liko empty sahv hakuna wapangaji
Utakuwa Town kabisa
mpwayungu village
Ova