bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Pesa za dukani za boss wake... Alikuwa anahojiwa jana katika kipindi cha shilawadu akasema ni pesa za mauzo yadukani ambazo huzikusanya na kuzipekeka bank
Anaogopa kuwekwa kwenye list hizo pesa bado zinamikanda zinaonesha zimetoka bankPesa za dukani za boss wake... Alikuwa anahojiwa jana katika kipindi cha shilawadu akasema ni pesa za mauzo yadukani ambazo huzikusanya na kuzipekeka bank
Wengine hata za kupigia picha hatuna.Hahaha
Hizo kapigia picha tu