yaaani heshima ni kumbrashia viatu na kumvua koti?,mmepatana kweli fake people.....mie sitafanya huu ujinga hata siku moja....and no kumheshimu ni kutomtukana,kutembea nje ya ndoa na kumjibu vibaya....hayo mnayofanya sio heshima ni utumwa na mwanaume kama yuko real lazima aone anaibiwa....haingii akilini mtu sio dissable umvue koti wkati ana uwezo wa kufanya hivyo yeye mwenyewe.....:mad2::mad2::mad2::mad2:
Depends labda anakupenda na hapendi akuone unasumbuka., mambo mengine madogo anaona anakuchosha bure, nadhani cha maana sababu its your nature and your character usiache kufanya unayofanya hususan mkiwa peke yenu (you know small things add a lot na siku ukipotea ataku-miss zaidi) ila labda sometimes anakuwa embarrassed kwa marafiki zake labda watadhani ni slave driver (anamtesa mama) if that the case labda mkiwa kwenye umati punguza kidogo au jaribu kumshauri hata hao marafiki zake wanaona wivu of how lucky he is.., anyway its minor things nina uhakika zaidi ya kukuonea huruma na kutokutaka kukusumbua he means well (its because he cares ndio maana hataki kukusumbua)Aksante sun wu......umenipa relief............. but nakwazika sometimea ambapo muhusika anaponipinga kuwa haoni umuhimu......bahati mbaya am too conservative in terms of abidding to the traditional rules yaani mie aje nimpokee, nimwekee maji ya kuoga, nimuenzi e.t.c But yeye anapoona namtukuza sana na hapendi nafanyaje?
Yeah hakuna shida ya akienda a mile kama havuki mipaka (ila kama mipaka ni a yard yeye atakwenda mpaka a mile)., mfano unampelekea maji ile yeye hajali hata siku unaumwa anadai maji, ukichelewa kupokea kuleta maji matusi.., unapika jikoni anajua fridge ipo wapi anakuita ulete maji.., anataka kubadilisha channel remote ipo mezani anakuita kutoka jikoni ubadilishe channel
Ndio maana nikasema it depends na mtu anakuchukuliaje, ila pia sio vema ubadilishe nature yako, upole wako au malezi yako sababu mtu hakueshimu (cha kufanya ni kuhakikisha kwamba huvuki mipaka yako uliyojiwekea na sio kuleta nidhamu ya uoga au ya kulazimishwa)
Kongosho right back at cha
Bwa Nchuchu hapo ndo ninaposhindwa kupaelewa mie......hebu fikiria nimekuwa nikilelewa na kujuzwa kuwa Mume hutunzwa hivi, nitaweza kweli kuyakana mafundisho hayo? Saawa kuna yale extreames ambayo mnawezaketi mkakubaliana kuwa haya ...hapana mpenzi wangu hii am ok hata usipolifanya hili, tukubaliane ingawa mh ni kama wanikwaza ati...................labda niko mchoyo
heshima.......
Let me think........
Nazungumza nae kwa staha bila dharau.....hii si heshima?
Namhudumia mahitaji yake yote ikiwemo kumpikia, kumfulia, hata kumuogesha inapobidi n.k n.k ......hii si heshima na upendo?
Kwenye argument, namjibu kiupole na kiustaarabu....hii si ni heshima?
Nawaheshimu ndugu zake hususan wazazi wake nawachukulia kama wangu, nae anafanya hivyo....hiyo si ni heshima?
Namuacha awe mwanaume....namaanisha jukumu lake kama mwanaume.... Yaani yeye kuwa kichwa cha familia.....hii si ni heshima?
Akinituma namtii.......hii si heshima?
Mbele za watu pia namuinyesha adabu na kumuacha atake control.........hii si ni heshima?
(hata tukiwa wenyewe namuheshimu pia)
Namtii, namsikiliza na kumuheshimu ..........hii si ni heshima?
Jestina I think hio ipo zaidi kwenye category ya kujali ama upendo... Na hio ina play part both ways... Kutegemea na mazingara. Kwamba kama umemkuta nyumbani umerudi na umechoka sioni ubaya wa yeye kukupokea na maybe kukuvua koti hasa kama kweli unaelekea kulivua - na vice versa. Take note haya matendo sio onesided kua mwanamke tu ndio afanye.... kuweza kuendeleza vitu kama hivi inabidi pande zote mbili zionesha kujali. Kuna couples mimi nawafahamu... A guy anaweza iron nguo zake na mkewe jioni for work kesho yake huku mkewe yupo na responsibilities nyingine....
MwanajamiiOne
kama umemsoma AshaDii, kasema heshima is given and earned, hadi umkubali mwanamme kuwa kichwa cha familia na lazima atakuwa amekidhi vigezo vya matarajio yako ya mwanamme unayemtaka.
Hiyo ya kuitwa toka jichoni kuna kumpa remote waweza ona kero, mie kwangu hewala, nachukulia kamiss kuona mgongo wangu nikiwa nimefunga kanga, anatafuta sababu ya kuniita.
Haya mambo ya yard na mile inategemea tu na nyie mipaka mliweka wapi, sidhani kama wanamme ni wabaya kiasi hicho afu kila siku tunaliliana tukae nao lol
Si kila ulicholelewa nacho na kujuzwa basi ndiyo ukishikilie hivyo hivyo kama kilivyo. Wakati mwngine waweza kukifanyia mabadiliko ili kiendane na hali na mazingira uliyonayo. Ni kutumia common sense tu.
Hao waliokujuza hawapo kwenye huo uhusiano wako na huyo mtu wako. Kinachojalisha zaidi, kwa mtazamo wangu, ni wewe na huyo mtu wako kufanya mambo yenu jinsi ambavyo yanavyowapendezesha nyinyi wawili.
Mafunzo na malezi wakati mwingine hustahili kutupwa huko.
labda kama nimeolewa na mlemavu, other wise asahau huu mdebwedo sioni kama una uhalisia ndani yake.....:mad2:
I support you... mtu ambae anakuheshimu hawezi kukutoa jikoni eti uje umpe remote! Huo ni utumwa unless otherwise hapo alipo anaumwa ama kuna a delicate thing ameshika/fanya ambayo haitakiwi iwe disturbed. Na ikifika hio stage ni kwamba kakushika masikio ile mbaya... na he is not good for you aisee...
MwanajamiiOne
kama umemsoma AshaDii, kasema heshima is given and earned, hadi umkubali mwanamme kuwa kichwa cha familia na lazima atakuwa amekidhi vigezo vya matarajio yako ya mwanamme unayemtaka.
Hiyo ya kuitwa toka jichoni kuna kumpa remote waweza ona kero, mie kwangu hewala, nachukulia kamiss kuona mgongo wangu nikiwa nimefunga kanga, anatafuta sababu ya kuniita.
Haya mambo ya yard na mile inategemea tu na nyie mipaka mliweka wapi, sidhani kama wanamme ni wabaya kiasi hicho afu kila siku tunaliliana tukae nao lol
Mie niko poa kabisa MJ1 namshukuru sana Mwenyezi Mungu....usiniwekee WANTED MwanajamiiOne bana niko poa kabisa ila mihangaiko wakati mwengine huwa mingi...Natumai nawe uko bomba kabisa. Naam Wanaume wengine heshima kama hizo za kupigiwa magoti n.k. wanaweza kabisa kuziona zimepitiliza na hivyo wasizipende kwa kuona ni kama wanamdhalilisha mke/mpenzi ili kufanya heshima kama hizo na si ajabu hata ndugu, jamaa na marafiki wanaweza kabisa kudhani Mume/Mpenzi anamlazimisha mwenzie ampe heshima hizo za hadi kupigiwa magoti. Utube hiyo hata mimi inanimaliza sana LOL!
Kuna heshima hizi za kiafrika hasa maeneo fulani fulani zina raha yake bana.
Sio unamwita mume, kwa kushout kama waita kitoto kidogo lol
raha ya mwanamme aheshimike na aheshimiwe kama anastahili.
Dadaaa........... plz, kama ataka kuuona mgongo jamani haruhusiwi kuntoa jikoni? jamani hebu plz msinipangie namna ya kummiliki mwenzi wangu. Ni sawa na mie najihisi nimemmiss but yuko kwa jirani apiga story ndo nsimwite aje kuna mende chini ya uvungu?? plizI support you... mtu ambae anakuheshimu hawezi kukutoa jikoni eti uje umpe remote! Huo ni utumwa unless otherwise hapo alipo anaumwa ama kuna a delicate thing ameshika/fanya ambayo haitakiwi iwe disturbed. Na ikifika hio stage ni kwamba kakushika masikio ile mbaya... na he is not good for you aisee...
Nimekuelewa suppose hakuna kupretend.........its a genuine heshima Tuanzie hapo coz hata mie siamini katika nidhamuya uoga. kwa faida ya nani sasa?sasa mwj1 hapa ipo sababu ya mim kutoa ufafanuz kwa mtizamo wangu juu ya hili la heshima na "woga" hasa kwa wapendanao.....!nitakoment kwa kirefu zaidi kesho...!
hao wanaofanya heshima hao...izo za kimuonekano wapo wanaofanya kwa kulinda tu mahusiano...infact wanfanya tu kama mazoea labda kwa kuangalia histrory/backgrounds za kabila la mupenziwe....makabila mengine wanaume wanapenda kuabudiwa sana..kwa iyo ni swala la mwanamke mwenye focus kupretend tu.....!ingawa ni mbaya sana...
ndan ya hili neno heshima kuta kitu kingine kikubwa zaidi ya hili la kupigiana magoti...!
nitakoment kesho...!kutumia sim ninapata shida kidogo kuandika..
Gender equality ni moja ya eneo ambayo uelewa wake umekua under/mis rated na watumiaji na wahusika. Tatizo ndio lipo hapo.... Tunashindwa kuelewa where to draw the line linapokuja swala la equality. Kwamba hata tukitaka usawa kila field/kipengele kina mipaka yake. Equality katika work force ni tofauti utapokuja katika dini... ni tofauti utapokuja Ki family na maeneo mengine mengi.
Heshima MJ1 is given as well as earned. Hao watu watakua ni wa ajabu sana kama wataku undermine sababu tu umeonesha heshima kwa Mpenzi wako. Mpenzi ni someone to treasure na "Heshima" ni moja ya nguzo kubwa ya the way kumtreat... Na naamini ukimueshim kama yupo appreciative na anakuthamini atakuheshimu pia. Sometimes it is good to be stupid when in love especially kama wamaanisha yale ambayo wafanya dhidi yake. Hivo huna haja ya kuchanganikiwa... Kama roho yako yakutuma kupiga goti kwa mpenzio... Piga. After all kuna moments wawez piga goti... thou inaweza isiwe public hasa kama wewe na mpenzio mana mahusiano mazuri sana... Imagine him sitting sebuleni na kakuomba maji/kinywaji.... If you love him, and you feel like it; kuna ubaya gani ukisogea karibu ukapiga goti na kumpa maji? Sio rahisi that you will do it every day... but once in a while inalipa.
Dadaaa........... plz, kama ataka kuuona mgongo jamani haruhusiwi kuntoa jikoni? jamani hebu plz msinipangie namna ya kummiliki mwenzi wangu. Ni sawa na mie najihisi nimemmiss but yuko kwa jirani apiga story ndo nsimwite aje kuna mende chini ya uvungu?? pliz