hahaha unacheza kulingana na biti ilivyo. wakati wa singeli cheza singeli, biti la reggae chega rege. usije kuwa kama masai anaweza cheza kwaya katikati ya singeli
Kwa maana hiyo unataka watu wakae kimya wtekaji waendelee? Au hukuona wakati Roma ameteka RC Makonda alipaza sauti hadi kutoa muda sahihi ya Roma kuachiwa?
Kwa maana hiyo unataka watu wakae kimya wtekaji waendelee? Au hukuona wakati Roma ameteka RC Makonda alipaza sauti hadi kutoa muda sahihi ya Roma kuachiwa?