Nabii anakuja, jiandae kumlaki

Nabii anakuja, jiandae kumlaki

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
34162907_2102084879808118_8583172165992448000_n.jpg
 
Tuliambiwa kuwa mitume/manabii wa Mungu wa mwisho ni Mtume M.S.W na upande wa pili ni Yesu Kristo. Lakini ukiendelea kusoma biblia maandiko yanasema nyakati za mwisho watu watakuja kwa jina langu naona ndiyo hao mitume na manabii ambao binafsi nawaita fake wamekuwa wengi sana siku za hivi karibuni wakiwa na lengo la kujitajirisha kupitia sadaka zetu(Mnisamehe kwa nitakaye kuwa nimemkwaza).
 
Addo November ndio organizer wa huu mkutano....
October mbali sana!
 
Tuliambiwa kuwa mitume/manabii wa Mungu wa mwisho ni Mtume M.S.W na upande wa pili ni Yesu Kristo. Lakini ukiendelea kusoma biblia maandiko yanasema nyakati za mwisho watu watakuja kwa jina langu naona ndiyo hao mitume na manabii ambao binafsi nawaita fake wamekuwa wengi sana siku za hivi karibuni wakiwa na lengo la kujitajirisha kupitia sadaka zetu(Mnisamehe kwa nitakaye kuwa nimemkwaza).
Hilo ulilolisema kama mitume wa mwisho ni yesu na mohamed uliambiwa na nani? Kama una reference tupatie mkuu ama siyo huo pia ni uzushi tu
 
Tuliambiwa kuwa mitume/manabii wa Mungu wa mwisho ni Mtume M.S.W na upande wa pili ni Yesu Kristo. Lakini ukiendelea kusoma biblia maandiko yanasema nyakati za mwisho watu watakuja kwa jina langu naona ndiyo hao mitume na manabii ambao binafsi nawaita fake wamekuwa wengi sana siku za hivi karibuni wakiwa na lengo la kujitajirisha kupitia sadaka zetu(Mnisamehe kwa nitakaye kuwa nimemkwaza).
Mtume/Nabii wa mwisho ni Yohana Mbatizaji wengine baada yake ni fake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom