Naanzaje kuacha kunywa Bia?!!!.

Naanzaje kuacha kunywa Bia?!!!.

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,371
Reaction score
14,481
Hivi km kuna Vitamini zote hizo, halafu bado mtu anakwambia eti "Usinywe ".
tapatalk_1554117784829.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20190416-WA0002.jpg
    IMG-20190416-WA0002.jpg
    66.5 KB · Views: 50
Hizo vitamin ndo zinakufanya usiache au kuna kitu kingine. Naamini hizo vitamin unaweza kuzipata katika vyakula vingine. Wewe acha tu mkuu. Maana matokeo ya bia sio mazuri unapokuwa umezinywa
Ni sawa lkn, unapokunywa hio kitu unapata Vitamini zote hizo kwa mkupuo tofauti na kula Vyakula ambapo Vitamini hizo zinakuwa za kuokoteza. We huoni asilimia Zaidi ya tisini ya Wanywa bia wana vitambi!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom