Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Hivi km kuna Vitamini zote hizo, halafu bado mtu anakwambia eti "Usinywe ".
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo vitamin ndo zinakufanya usiache au kuna kitu kingine. Naamini hizo vitamin unaweza kuzipata katika vyakula vingine. Wewe acha tu mkuu. Maana matokeo ya bia sio mazuri unapokuwa umezinywaHivi km kuna Vitamini zote hizo, halafu bado mtu anakwambia eti "Usinywe ".
View attachment 1073982
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo picha ya pili kumbe unaishi kota za magereza!Picha ya pili, imekuja hapa kimakosa. Haiendani na ujumbe niliokusudia. Picha ya Bia ndo inayotakiwa. Samahani kwa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu. Hapa ni mwendo wa biere tu.Usiache mkuu kwanza unafanya vizuri una lipa kodi
Ni sawa lkn, unapokunywa hio kitu unapata Vitamini zote hizo kwa mkupuo tofauti na kula Vyakula ambapo Vitamini hizo zinakuwa za kuokoteza. We huoni asilimia Zaidi ya tisini ya Wanywa bia wana vitambi!!.Hizo vitamin ndo zinakufanya usiache au kuna kitu kingine. Naamini hizo vitamin unaweza kuzipata katika vyakula vingine. Wewe acha tu mkuu. Maana matokeo ya bia sio mazuri unapokuwa umezinywa
Ah!!!!, hapana Mkuu.Hiyo picha ya pili kumbe unaishi kota za magereza!
Maisha ndo haya haya Mkuu.Do you want the beer? yeees! ... Kuzimu hakuna bia! RIP Kibonde
Kazi na dawa.Baada ya Kazi unapata moja ya baridi.Wakinga mmeanza lini kunywa bia? Na mlivobahili hongera zako
Wakinga hata uwe na laki mfukoni na una kiu ya maji ukijitahid sana unanunua maji ya kandoro sembuse unywe bia
Sio wote Mkuu, tupo tunaojua kutumia pesa.Wakinga hata uwe na laki mfukoni na una kiu ya maji ukijitahid sana unanunua maji ya kandoro sembuse unywe bia