Naanza mazoezi

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
Pumba.., mshen.. mkubwa we'---- nini, paka wee! Naongea na mwenye nyani siongei na nya.., sura kama gari ya mkaa! Musiogope; nafanya mazoezi ya matus* ili nikiingia BUNGENI 2015 nisipate tabu si unajua staili ya bungen mda huu si kujua hoja ila ni kujua matus na ukizingatia na mimi nimepanga kugombea.
 
Utakua mbunge wa Kondoa au Mtera
 
Usisahau na hili mapum_u ya bibiyako, wakikutaka kufuta kauli au kuomba radhi usikubali kwani bibi hana map_mbu, hivyo si tusi,
 
ongeza juhudi za matusi mkuu maana hili bunge n zaidi ya majanga.tizi mara tano kwa siku
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…