Kwamba wewe uliongeza masikio kwenye hio mimba ya mtu mwingine?
mkuu hio mimba/mtoto sio yako tukuambie tu,endelea na maisha yako, kama unasali omba Mungu Akupe mke mwingine mwema, hao madaktari watakua waliona huelewi somo, wakaamua wakuambie jibu unalolipenda,la vinasaba vinne,