Naamini Kikwete anasikitika kama mimi

Tupia na zile za maCCM yakicheza huku yanabaishiana na kushikana viuno,au zile wakipigana kugombea posho,au ya jeykey akiendekeza usanii kwa kupiga ngoma hata moja tu!!!

Hivi nyie Mbona kila kitu mnajilinganisha na CCM? Kama wanachofanya CCM na ninyi mnafanya, tofauti yenu na CCM iko wapi?
 

Mtu mmoja akanufurahisha hata kombati wameiga bana

Ishu ya Katiba hawakuwanayo

I always used to say dr slaa is indirect leading this nation
 

Ningekuwa na uwezo wa JK hakika hawa jamaa ningewaita Ikulu, tunaingia Mkataba wa kutenda kwa niaba yangu hadi muda wangu umalizike... Mafia wanasema "kila Mtu ana bei yake" ningefika Bei ya Lisu kwa gharama yoyote ile ...
 
Tunashukuru kwa picha nzuri. Maana hizi ni tofauti na zile za akina Komba wakikata viuno.
na singida tieni ---- tieni tieni kwa moyo mmojaaaa ---numberi one eeeeee --- numberione ni CCM

Mh. akiwa kazini



Baada ya kazi -- anapumzika


 
Tunashukuru kwa picha nzuri. Maana hizi ni tofauti na zile za akina Komba wakikata viuno.
na Singida tieni - tieni tieni kwa moyo mmojaaaa ---numberi one eeeeee --- numberione ni sisiemuuu....

Mh. akiwa kazini



Baada ya kazi


 
Ningekuwa na uwezo wa JK hakika hawa jamaa ningewaita Ikulu, tunaingia Mkataba wa kutenda kwa niaba yangu hadi muda wangu umalizike... Mafia wanasema "kila Mtu ana bei yake" ningefika Bei ya Lisu kwa gharama yoyote ile ...

Hahaaa hii nimeipenda mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…