kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Sio kwamba mimi ni shabiki saana wa Moise Katumbi au vipi lakini kwa macho yangu na akili yangu tu amini kwasasa Kongo wanahitaji mtu kama Moise Katumbi
Felix sio kwamba ni Rais mbaya hapana, Bali hafai kuwa Rais wa nchi kubwa kama Congo DR
Mwaka 1978 aliyewahi kuwa Rais wa Congo (Zaire) Mobutu Seseseko aliwahi kusema kuwa hili kuongoza Zaire inahitaji Rais mwenye akili kubwa sana
Na hichi anachofanya Felix ni kitu kizuri saana lakini itakuwa aibu kama hatotangaza vita na Rwanda maana tutaonekana kama mbwa fulani ambaye akiwa nyumbani kwao anabweka saana akiona mtu lakini akiwa peke yake au sehemu nyingine bila baba yake yule anakuwa mpole
Na wengi watatuchukulia kama nchi dhaifu saana
Kama anavyosema yeye kuwa ni Rwanda ndio wanaleta vita Congo na ni lazima apigane nao. Kinachomfanya asipigane na Rwanda ni kipi kama anaamini ana nguvu saana?
Ndio maana nilisema Congo tunahitaji zaidi Moise Katumbi, Sio kwamba Katumbi yeye hajui vita vya Congo vinaletwa na Rwanda Ila alichotamka kuwa vita kamwe haviwezi kuleta amani ya Mashariki mwa Congo
Suluhisho la vita ya Congo ni kutumia akili kubwa tu basi hapo watakuwa wamemaliza mchezo wote
Kwa undani zaidi nilikuja kuelewana pale aliposema kuwa makao makuu ya nchi inabidi yabadilishwe kutoka Kinshasa na kuletwa Mashariki mwa Congo hapo watakuwa wamemaliza mchezo wote maana capital ya nchi itakuwa karibu na zile nchi zinazosadikika ni madui wa Congo kwa hiyo hapo watadili nao vizuri na kutakuwa na ulinzi mzuri kwenye mipaka yetu na wao
Na mwisho Moise Katumbi ni jasusi la Kiisraeli hakuna chochote anachoweza kufanya Kagame pale Rwanda, Katumbi hasijue
Felix sio kwamba ni Rais mbaya hapana, Bali hafai kuwa Rais wa nchi kubwa kama Congo DR
Mwaka 1978 aliyewahi kuwa Rais wa Congo (Zaire) Mobutu Seseseko aliwahi kusema kuwa hili kuongoza Zaire inahitaji Rais mwenye akili kubwa sana
Na hichi anachofanya Felix ni kitu kizuri saana lakini itakuwa aibu kama hatotangaza vita na Rwanda maana tutaonekana kama mbwa fulani ambaye akiwa nyumbani kwao anabweka saana akiona mtu lakini akiwa peke yake au sehemu nyingine bila baba yake yule anakuwa mpole
Na wengi watatuchukulia kama nchi dhaifu saana
Kama anavyosema yeye kuwa ni Rwanda ndio wanaleta vita Congo na ni lazima apigane nao. Kinachomfanya asipigane na Rwanda ni kipi kama anaamini ana nguvu saana?
Ndio maana nilisema Congo tunahitaji zaidi Moise Katumbi, Sio kwamba Katumbi yeye hajui vita vya Congo vinaletwa na Rwanda Ila alichotamka kuwa vita kamwe haviwezi kuleta amani ya Mashariki mwa Congo
Suluhisho la vita ya Congo ni kutumia akili kubwa tu basi hapo watakuwa wamemaliza mchezo wote
Kwa undani zaidi nilikuja kuelewana pale aliposema kuwa makao makuu ya nchi inabidi yabadilishwe kutoka Kinshasa na kuletwa Mashariki mwa Congo hapo watakuwa wamemaliza mchezo wote maana capital ya nchi itakuwa karibu na zile nchi zinazosadikika ni madui wa Congo kwa hiyo hapo watadili nao vizuri na kutakuwa na ulinzi mzuri kwenye mipaka yetu na wao
Na mwisho Moise Katumbi ni jasusi la Kiisraeli hakuna chochote anachoweza kufanya Kagame pale Rwanda, Katumbi hasijue