Dinnah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 791
- 1,062
Natumai mu wazima
Wangapi tunafatilia hii season ya naagin kuanzia season 1,2 mpaka sasa tupo season 3
Binafsi naipenda sana hii drama,ambayo inaonyeshwa kila jumamosi na jumapili 8pm colorstv,katika king'amuzi cha Azam
Muigizaji gani anakuvutia,na yupi? unamchukia?bila kusahau couple unayoipenda
Season1 nilimpenda sana shivanya,Ritik,sesa,Yamini
Season2 nilimpenda shivangi,Rocky,Luchika,Yamini, Shivanya,japo mwisho walifanya nijiulize maswali bila kupata jibu,kwann Ritik baba yake shivangi ahusike kumuua mwanaye shivangi
Season3 Nampenda Bella,mahir,Ajitab,vish,sumi,palomi ninayemchukia kwenye hii drama Vikrat daaah!tunao ifatilia tujadili machache hapa.
Wangapi tunafatilia hii season ya naagin kuanzia season 1,2 mpaka sasa tupo season 3
Binafsi naipenda sana hii drama,ambayo inaonyeshwa kila jumamosi na jumapili 8pm colorstv,katika king'amuzi cha Azam
Muigizaji gani anakuvutia,na yupi? unamchukia?bila kusahau couple unayoipenda
Season1 nilimpenda sana shivanya,Ritik,sesa,Yamini
Season2 nilimpenda shivangi,Rocky,Luchika,Yamini, Shivanya,japo mwisho walifanya nijiulize maswali bila kupata jibu,kwann Ritik baba yake shivangi ahusike kumuua mwanaye shivangi
Season3 Nampenda Bella,mahir,Ajitab,vish,sumi,palomi ninayemchukia kwenye hii drama Vikrat daaah!tunao ifatilia tujadili machache hapa.