Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.
Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.
Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!
Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!
Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.
Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.
Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.
Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.
Kila mla vya wenzie na yeye chake huliwa, unadhani mkeo haliwi? Ni swala la muda tu.Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.
Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.
Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!
Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!
Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.
Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.
Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.
Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.
AmeenJitaid bro hakika itashinda
Haninyimi na ukiachilia mbali mke na mume pia sisi ni marafiki ila mimi nimekuwa rafiki mnafiki ninamsaliti mke wangu/rafiki yanguAnakunyima papuchi kila mara utakayo kujirusha na utamu wako?
Tatizo sio kutubu sheikh shida ni toba ya kujirudia kila sikuUkishajua dhambi yako ni rahisi kuanza kuitubiaa
Niamua nn mkuuAmua tu mkubwa hakuna linaloshindikana
Haninyimi na ukiachilia mbali mke na mume pia sisi ni marafiki ila mimi nimekuwa rafiki mnafiki ninamsaliti mke wangu/rafiki yangu
Kila strong man deserves family pa1 na mapungufu yangu but nina haki ya kuwa na mke eventhough nahitaji tafakariKosa kubwa uliofanya is u wer not true to urself....yaani unajua sio kila mtu ni fit kuwa mume...u are one of them kama mie tuu. Nilishajijuliaga mie ni mtu wakugegeda tuu mambo ya kuoa na familia hilo siwezi maana mke nitamcheat tuu. Sasa kuondoa yote hayo wewe ulifuata wat society expects of u na sio uhalisi wa wewe ulivyo.
Shukrani mpendwaMaamuzi ya kuacha kuchepuka yanaanza na wewe mwenyewe, unatakiwa ujikane kwamba unachokifanya siyo kizuri kwanza ni dhambi, kuna magonjwa nk. Lkn pia ukumbuke na wema wa mkeo/uzuri wake pia, ujisute Kwa hayo ufanyayo je ndyo malipo anayostahili?mshirikishe Mungu akusaidie. Amina
Huwezi kuamini nje nafata tu upya wa dem but sienjoy zaid ya ninavyofurahia kwa wifeHuko nje kuna vitu unavyovipata ambavyo rafiki yako mkeo hakupi? Kwa mfano kuna mikao mke rafiki yako anakwambia mkao huu mie sipendi/si enjoy.
Huwezi kuamini nje nafata tu upya wa dem but sienjoy zaid ya ninavyofurahia kwa wife
Zingatia sasa siyo unashukuru huku tayari ushaupigia mchepuko muonane[emoji3] [emoji3]Shukrani mpendwa
Zingatia sasa siyo unashukuru huku tayari ushaupigia mchepuko muonane[emoji3] [emoji3]
What goes around comes around.... Soon utasikia mke wakoo analiwa na lijaama flani huko kazini kwake.....!! Ndo utadata
Ni kweli kakaJizuie basi sioni sababu ya kuendelea kumsaliti mkeo na rafiki vinginevyo utaishia kulikwaa gonjwa na kubaki na majuto mjukuu for the rest of your life.