D DR. Mlay Member Nov 8, 2010 26 0 Nov 8, 2010 #1 Miongoni mwa wa Tanzania walionufaika na jf mimi ni miongoni mwao hivyo watanzania wenzangu au wanafamilia wa jf nikiwa kama kijana mtiifu mpenda maendeleo a.k.a Baba paroko ninaomba ukaribisho wenu.:israel:
Miongoni mwa wa Tanzania walionufaika na jf mimi ni miongoni mwao hivyo watanzania wenzangu au wanafamilia wa jf nikiwa kama kijana mtiifu mpenda maendeleo a.k.a Baba paroko ninaomba ukaribisho wenu.:israel:
Shaycas JF-Expert Member Feb 13, 2009 906 110 Nov 8, 2010 #3 karibu kwenye mjengo wireless, popote ulipo unaweza kupata au kutoa chochote kwa manufaa ya wengi.
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Nov 9, 2010 #5 karibu..udokta wako ni wa ukweli au ni wa kuchakachua?