Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,603
Wakuu,
Nilipita sehemu leo (uswahilini) nikakuta wamama watu wazima wanazungumzia kuhusu uteuzi mpya uliofanywa hivi karibuni kwenye baraza la mawaziri
Yaani ni wanatoa nondo balaa. Wengine wanasapoti uteuzi uliofanyika wengine wanasema hapana uteuzi haukuwa sahihi
Binafsi nimeona kuna mwamko mkubwa sana wa wanawake kipindi hiki hasa baada ya Uchaguzi. Wanawake ambao zamani walikuwa wanaonekana kama wafuatiliaji wakubwa wa habari za udaku sasa hivi wako bize kufatilia uteuzi
Sijui tunaelekea sehemu nzuri au mbaya lakini kuna sehemu tunaelekea
Nilipita sehemu leo (uswahilini) nikakuta wamama watu wazima wanazungumzia kuhusu uteuzi mpya uliofanywa hivi karibuni kwenye baraza la mawaziri
Yaani ni wanatoa nondo balaa. Wengine wanasapoti uteuzi uliofanyika wengine wanasema hapana uteuzi haukuwa sahihi
Binafsi nimeona kuna mwamko mkubwa sana wa wanawake kipindi hiki hasa baada ya Uchaguzi. Wanawake ambao zamani walikuwa wanaonekana kama wafuatiliaji wakubwa wa habari za udaku sasa hivi wako bize kufatilia uteuzi
Sijui tunaelekea sehemu nzuri au mbaya lakini kuna sehemu tunaelekea