N.Korea v/s U.S.A

N.Korea v/s U.S.A

tarawe

Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
37
Reaction score
19
Naomba kuuliza tu, hivi wale wanajamvi walioshadadia kwamba marekani atampiga bwana KIM bado wanaendelea kushadadia?
 
Kwani NK nae si alisema atampiga USA. Ila ni wazo feki kulinganisha nguvu hafifu za,kijeshi za NK na zile za USA.
 
Mnadhani uwanja wa vita ingekuwa wapi km si NK? Nyie kusikia tu NK atarusha makombora yake USA mnadhani ndo patakuwa uwanja wa vita,mmebogi men. Mlijiuliza kwani USA amesogeza meli,majeshi yake karbu na NK. Mnadhani yeye USA nae hawezi kupigana akiwa kwake kwa kutumia ICBM zile ambazo hata NK hatakuja kuwa nazo hata miaka 30 ijayo. Na je mmefikiria kwani NK nae hajapeleka majeshi yake pale pwan ya USA,km pale labda Mexico na nk?. Ukichunguza kwa kina ni kuwa uwanja wa vita ungekuwa ni NK. TAFAKARIN KWA KINA SANA
 
Mnadhani uwanja wa vita ingekuwa wapi km si NK? Nyie kusikia tu NK atarusha makombora yake USA mnadhani ndo patakuwa uwanja wa vita,mmebogi men. Mlijiuliza kwani USA amesogeza meli,majeshi yake karbu na NK. Mnadhani yeye USA nae hawezi kupigana akiwa kwake kwa kutumia ICBM zile ambazo hata NK hatakuja kuwa nazo hata miaka 30 ijayo. Na je mmefikiria kwani NK nae hajapeleka majeshi yake pale pwan ya USA,km pale labda Mexico na nk?. Ukichunguza kwa kina ni kuwa uwanja wa vita ungekuwa ni NK. TAFAKARIN KWA KINA SANA
Ww ulichotafakari mbn hakina mantiki wala mashiko yoyote maana umechangia kishabiki
 
Mnadhani uwanja wa vita ingekuwa wapi km si NK? Nyie kusikia tu NK atarusha makombora yake USA mnadhani ndo patakuwa uwanja wa vita,mmebogi men. Mlijiuliza kwani USA amesogeza meli,majeshi yake karbu na NK. Mnadhani yeye USA nae hawezi kupigana akiwa kwake kwa kutumia ICBM zile ambazo hata NK hatakuja kuwa nazo hata miaka 30 ijayo. Na je mmefikiria kwani NK nae hajapeleka majeshi yake pale pwan ya USA,km pale labda Mexico na nk?. Ukichunguza kwa kina ni kuwa uwanja wa vita ungekuwa ni NK. TAFAKARIN KWA KINA SANA
Uwanja wa vita utakuwa SK sio NK amini usiamini
 
Mmmmh! Kim alisema vita itapigwa u.s.a.
Vilevile mnajua wiki hii trump alikuwa na mpango wa kukutana na bwana kim?
Mnajua kama raisi wa s.korea kaomba kuurudisha uhusiano wake na n.k
MNAJUA LEO BWANA KIM KAFANYA JARIBIO LINGINE NA LIMEFANIKIWA KWA 100%
 
Mmmmh! Kim alisema vita itapigwa u.s.a.
Vilevile mnajua wiki hii trump alikuwa na mpango wa kukutana na bwana kim?
Mnajua kama raisi wa s.korea kaomba kuurudisha uhusiano wake na n.k
MNAJUA LEO BWANA KIM KAFANYA JARIBIO LINGINE NA LIMEFANIKIWA KWA 100%
Mkuu hiyo taarifa nimeiona bbc swahili na hilo kombora limeanguka kwenye bahari ya japan
Kim ana msimamo wake tu
 
Jinsi ninavyoona marekani hamuwezi kim. Labda ajiandae upya kwa miaka 30 ijayo kwa hiyo technoloji ya kutuma tetemeko la aridhi au tsunami.
 
Naomba kuuliza swali,Hiv kati ya Marekani na Nkorea nani alikua kila siku akisema atamshambulia mwenzake.
Huyo korea amekua akitengeneza had vdeo za uongo akionyesha majiji ya Marekani yakiwaka moto wa kulipuliwa na nuclear.
Marekani mwaka huu ndo kaamua had China,Russia,Japan na South korea walikua wakiisihi Marekani isichukue hatua ya peke yake dhid ya Nkorea.
 
Mkwara wa vitisho vya marekani Mapanki alisema ni wa bei rahisi mno siwezi kuununua!
Akasema majaribio ya missile yataendelea kama kawaida na alfajiri ya Leo amerusha kitu kipya kabisa angani! Missile yenye uwezo wa kubeba Bomu zito LA nuklia!
Ifahamike kuwa hadi sasa teknologia iliyopo ni ya kubeba Bomu dogo LA nuklia kwenye missile. Lakini jamaa kaja na teknologia ya missile kubeba Bomu kubwa LA nuklia!
 
Siku hawapo. Wamekimbia na kumwacha Trump pekee yake. Wengine wamehamia upande wetu (Mapanki ) ghafla.
 
Mnadhani uwanja wa vita ingekuwa wapi km si NK? Nyie kusikia tu NK atarusha makombora yake USA mnadhani ndo patakuwa uwanja wa vita,mmebogi men. Mlijiuliza kwani USA amesogeza meli,majeshi yake karbu na NK. Mnadhani yeye USA nae hawezi kupigana akiwa kwake kwa kutumia ICBM zile ambazo hata NK hatakuja kuwa nazo hata miaka 30 ijayo. Na je mmefikiria kwani NK nae hajapeleka majeshi yake pale pwan ya USA,km pale labda Mexico na nk?. Ukichunguza kwa kina ni kuwa uwanja wa vita ungekuwa ni NK. TAFAKARIN KWA KINA SANA
NK hawana mambo ya kipuuzi ya kuvamia nchi za kigeni kama walivyo machizi USA.
 
Back
Top Bottom