Mzuri wa sura tu

Mzuri wa sura tu

aljun raj

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
203
Reaction score
46
Ama kweli wadada wengine wazuri lkn tbia zao mbaya leo nimeenda kwa rafiki yangu kumsalimia anumwa nimemkuta demu wake amekaa pemben akiangalia move za x uku jamaa akilalamika anaitaji chakula demu ndio kwanza kamnyamazia mpaka mi nikaenda kumnunulia chps kurudi demu kanuna ikabudi mi niage sasa uku kunakupendana kweli. Madada hebu waheshimuni wapenz wenu bhana hata kama anaumwa vp ndio mpenz wako uliemchagua uyo. Eeeh
 
Ni demu wake au mke wake?
Kama sio mkewe, wanaishi pamoja au?
 
kwani we ulivyopeleka umepoteza nini,halafu pengine pesa ndio ilikua tatizo hapo je,umbea tu.
 
Duu hapo kuna upendo kweli?au pesa ilikuwa shida?
 
Si umbea bali aiwezekan mpenzi wako umfanyie vile hats kama pesa
Ndio ttzo maana pesa sometime huwa anapnewa
 
Haya unayotuambia sisi huku kwa nini usingeliyamaliza kwa kumueleza huyo binti kuwa anafanya vibaya?
 
kwani we ulivyopeleka umepoteza nini,halafu pengine pesa ndio ilikua tatizo hapo je,umbea tu.

hujaielewa mada jamaa kataka kujua ni mapenz ya aina gani? Coz tusimlaumu pengine kweli hakua na pesa ila si angemwambia jamaa??? No real love nowdays under the sun
 
Aah namaani kama kuna madada wa namna hii waache bhan
 
Back
Top Bottom