Tangu zamani tumekuwa tukitumia vocha na vocha ni codes. Tangu nimiliki simu ni miaka 10+ now na nimejarbu kubashiri lakini nimekosa.
1.je ni njia gan inatumika ku create hizi codes?
2. kwani haziishi?
3. Ni kweli kama zinasafirishwa kwa umbali mrefu zina kuwa locked? I mean kama zimeibwa zisiweze kutumika?
4. je ikitokea codes kuisha, nini hufanyika?